Nauza bajaj niliyoichukua kwa mkopo, atakayeitaka atatakiwa kurudisha rejesho

Nauza bajaj niliyoichukua kwa mkopo, atakayeitaka atatakiwa kurudisha rejesho

Kwa wabongo walivyo itakula kwako, wewe wauzie bajaj na mkopo. Muende kwenye kampuni ukamkabidhi na sio arejeshe kwa niaba YAKO imekula kwako.
 
Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24

Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi

557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka

6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili

Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Hii haijakaa sawa, vipi Kwa vile kampuni ndio wenye kadi ya umiliki, Je wanahusika na matengenezo!? Say maintenance ya dharura!? Na vipi waliruhusu bima ndogo!? Ikiibiwa!? Ikipata ajali!?
 
Ila Naona hukuwa na business plan hivyo ulifuata mkumbo, ngoja waje wenye mpangokazi WA biashara hiyo, ila inaonekana unatakiwa Kwa siku upate angalau 139,400/7 = 19,915 Bila dharura yoyote!! Huu ni wizi WA kupindukia
 
Nilikopa bajaj TVS KING TUKTUK mpya kwa kampuni flani ila nilitanguliza Tsh 1m kama dhamana, imetembea km 300 tu na ina bima ndogo, ina fire extinguisher, Latra na triangle zake ikiipata ni road tu.

Rejesho ni 139,400 kwa wiki nimesharejesha mwezi kama na kitu. Kwa anaehitaji hii bajaj na deni lake ili akimaliza deni iwe yake aje pm mi nahitaji laki 8 tu kati ya milioni niliyotanguliza,kisha namkabidhi.

Karibuni na picha hizi hapa;

Nipe namba zako
 
Jamaa kapigwa riba ya [emoji817].. my kwa m6 huyu mkopeshaji hawezi kuionja harufu ya pepo kabisa ..

Yaan hata ikitokea watu wote tukapewa ofa ya kuuona ufalme wa Muumba ,,mkopeshaji huyu hawezi kupewa ofa sheitwan mkatatili.
Aisee, ni hatari..
 
Siyo kwa riba hiyo.

Hii ni sawa na wale jamaa BAYPORT.

Sema tu BAYPORT unapewa Pesa ila kwa hawa jamaa unapewa chombo. Ila model ya unyonyaji kwa watu maskini bila huruma ni ileile. Mungu atunusuru na huu unyonyaji kwa sababu ya umaskini wetu sisi wabongo!
Nadhani ndio sababu ya kukataza riba.
 
Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24

Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi

557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka

6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili

Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Hesabu ya bajaj kwa siku bila mkataba ni tsh elfu 20 kwa siku na wwtu wanafanya hivyo miaka na miaka. Iweje ushindwe kuvumilia miaka 2 halafu bajaj iwe yako?
 
Siyo kwa riba hiyo.

Hii ni sawa na wale jamaa BAYPORT.

Sema tu BAYPORT unapewa Pesa ila kwa hawa jamaa unapewa chombo. Ila model ya unyonyaji kwa watu maskini bila huruma ni ileile. Mungu atunusuru na huu unyonyaji kwa sababu ya umaskini wetu sisi wabongo!
Ukijifunga mkanda unaweza tu. Hesabu hiyo ya week ni sawa na elfu 20 kwa siku ambapo ni hesabu ya kawaida
 
Bajaji ni kisanga niliuza mapema kabla mambo hayajawa mengi ni biashara ngumu sna halafu risk as unaweza hata kugongwa na ukawa mwisho wa chombo
 
Dar es Salaam Tabata, Makabidhiano tunafika kwa kampuni niliyokopa wabadili majina ya mkopa kwenda kwa mkopaji mwingine, hata wao wameshauri hivyo.
samahani uko wanakopesha pikipiki nielekeze nahitaji pikipiki
 
Nilikopa bajaj TVS KING TUKTUK mpya kwa kampuni flani ila nilitanguliza Tsh 1m kama dhamana, imetembea km 300 tu na ina bima ndogo, ina fire extinguisher, Latra na triangle zake ikiipata ni road tu.

Rejesho ni 139,400 kwa wiki nimesharejesha mwezi kama na kitu. Kwa anaehitaji hii bajaj na deni lake ili akimaliza deni iwe yake aje pm mi nahitaji laki 8 tu kati ya milioni niliyotanguliza,kisha namkabidhi.

Karibuni na picha hizi hapa;

Habarii naiitaka hii nipo siliazi kama hujauza bado tuwasiliane 0768452940
 
Back
Top Bottom