- Thread starter
- #21
Hadi hiyo date 11 ndio nitakutumia kama haijapata mtu, nami hizo siku 9 napanga bajeti zangu nione kama nitafanikiwa kukichukua
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Tuombe kheri baina yetu sote Mkuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi hiyo date 11 ndio nitakutumia kama haijapata mtu, nami hizo siku 9 napanga bajeti zangu nione kama nitafanikiwa kukichukua
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Mkuu nilinunua boma likiwa limeshajengwa,bahati mbaya kuna ujenzi mwingine nilishaanza,hela ya finishing nikanunulia huko sasa nimeshindwa mue deleza nyumba mbili kwa wakati .moja, meanwhile majukumu yakanizidia....Mkuu toa na ramani ya boma
Ndio mwahako hapo au machui
Mkuu nieleweshe vizuri mahali ilipo..ni njia ya Machui ya kwanza au ya pili Istikama?
Mungu akufanyie wepesi, wateja watiririke kwa wingi Kama mvua za el nino
Sisi ni watu wa inyiputo, tunabariki na hatulaani.Unamfagilia gwa kukaja!!!
duhKumbe wewe ndio ERIC ENOS MWAIKAMBO kwahiyo unarudi kwenu Mbeya?
Anyway Mungu akutangulie upate mteja
Unakosea!Funga Linta kwanZa
Ndio Tuje tununue