Blauzi mbovu
Member
- Oct 30, 2021
- 39
- 35
Wadau habari za leo !
Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao:
1. Dagaa nyama,
2. Dagaa wakavu/Lukumbu,
3. Lumbunga , na
4. Ng`onda pia wapo.
-Mauzo ni kwa jumla,
-Bei ni poa,
-Msimamizi wa kila kitu ni mimi mwenyewe, naazingatia ubora na usafi kwa kiwango cha juu kabisa, kama ukinunua na ukikuta mchanga nakubadilishia bidhaa,
√ Kwa sasa bei ya ndoo/sado ni 50,000/- na kwa kilo ni 7000/kg Ila bei huwa inabadilika mara kwa mara.
Leo ni october 10, 2022;
Ukija nitafuta siku, mwezi au mwaka mwingine panapo uhai na afya , niulize kuhusi bei.
-Ila kila bei zinavyobadilika , binafsi najitahidi kuwa chini ya bei za wengine.
-Mikoani tunasafirisha.
√ Nipo kilwa mkoa wa Lindi Tz,
Tuwasiliane kwa namba 0675659680 calls&whatsApp kwa biashara,
na kama unataka elimu ya hii biashara usipige, njoo whatsApp kwa namba hiyo hiyo niliyoiweka hapo juu (0675659680) utaelekezana namna ya kufanya.
Nawatakia siku njema.
Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao:
1. Dagaa nyama,
2. Dagaa wakavu/Lukumbu,
3. Lumbunga , na
4. Ng`onda pia wapo.
-Mauzo ni kwa jumla,
-Bei ni poa,
-Msimamizi wa kila kitu ni mimi mwenyewe, naazingatia ubora na usafi kwa kiwango cha juu kabisa, kama ukinunua na ukikuta mchanga nakubadilishia bidhaa,
√ Kwa sasa bei ya ndoo/sado ni 50,000/- na kwa kilo ni 7000/kg Ila bei huwa inabadilika mara kwa mara.
Leo ni october 10, 2022;
Ukija nitafuta siku, mwezi au mwaka mwingine panapo uhai na afya , niulize kuhusi bei.
-Ila kila bei zinavyobadilika , binafsi najitahidi kuwa chini ya bei za wengine.
-Mikoani tunasafirisha.
√ Nipo kilwa mkoa wa Lindi Tz,
Tuwasiliane kwa namba 0675659680 calls&whatsApp kwa biashara,
na kama unataka elimu ya hii biashara usipige, njoo whatsApp kwa namba hiyo hiyo niliyoiweka hapo juu (0675659680) utaelekezana namna ya kufanya.
Nawatakia siku njema.