INAUZWA Nauza dagaa nyama na wengineo

INAUZWA Nauza dagaa nyama na wengineo

Blauzi mbovu

Member
Joined
Oct 30, 2021
Posts
39
Reaction score
35
Wadau habari za leo !

Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao:

1. Dagaa nyama,
2. Dagaa wakavu/Lukumbu,
3. Lumbunga , na
4. Ng`onda pia wapo.

-Mauzo ni kwa jumla,
-Bei ni poa,
-Msimamizi wa kila kitu ni mimi mwenyewe, naazingatia ubora na usafi kwa kiwango cha juu kabisa, kama ukinunua na ukikuta mchanga nakubadilishia bidhaa,

√ Kwa sasa bei ya ndoo/sado ni 50,000/- na kwa kilo ni 7000/kg Ila bei huwa inabadilika mara kwa mara.
Leo ni october 10, 2022;
Ukija nitafuta siku, mwezi au mwaka mwingine panapo uhai na afya , niulize kuhusi bei.

-Ila kila bei zinavyobadilika , binafsi najitahidi kuwa chini ya bei za wengine.

-Mikoani tunasafirisha.

√ Nipo kilwa mkoa wa Lindi Tz,
Tuwasiliane kwa namba 0675659680 calls&whatsApp kwa biashara,
na kama unataka elimu ya hii biashara usipige, njoo whatsApp kwa namba hiyo hiyo niliyoiweka hapo juu (0675659680) utaelekezana namna ya kufanya.


Nawatakia siku njema.

IMG_20220927_172155_900.jpg
IMG_20220927_171724_842.jpg
IMG_20220927_171709_186.jpg
IMG_20220927_171737_431.jpg
 
Wadau habari za leo !

Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao:

1. Dagaa nyama,
2. Dagaa wakavu/Lukumbu,
3. Lumbunga , na
4. Ng`onda pia wapo.

-Mauzo ni kwa jumla,
-Bei ni poa,
-Msimamizi wa kila kitu ni mimi mwenyewe, naazingatia ubora na usafi kwa kiwango cha juu kabisa, kama ukinunua na ukikuta mchanga nakubadilishia bidhaa,

√ Kwa sasa bei ya ndoo/sado ni 50,000/- na kwa kilo ni 7000/kg Ila bei huwa inabadilika mara kwa mara.
Leo ni october 10, 2022;
Ukija nitafuta siku, mwezi au mwaka mwingine panapo uhai na afya , niulize kuhusi bei.

-Ila kila bei zinavyobadilika , binafsi najitahidi kuwa chini ya bei za wengine.

√ Nipo kilwa mkoa wa Lindi Tz,
Tuwasiliane kwa namba 0675659680 calls&whatsApp kwa biashara,
na kama unataka elimu ya hii biashara usipige, njoo whatsApp kwa namba hiyo hiyo niliyoiweka hapo juu (0675659680) utaelekezana namna ya kufanya.


Nawatakia siku njema
 

Attachments

  • IMG_20220927_171709_186.jpg
    IMG_20220927_171709_186.jpg
    713.6 KB · Views: 17
Wadau habari za leo !

Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao:

1. Dagaa nyama,
2. Dagaa wakavu/Lukumbu,
3. Lumbunga , na
4. Ng`onda pia wapo.

-Mauzo ni kwa jumla,
-Bei ni poa,
-Msimamizi wa kila kitu ni mimi mwenyewe, naazingatia ubora na usafi kwa kiwango cha juu kabisa, kama ukinunua na ukikuta mchanga nakubadilishia bidhaa,

√ Kwa sasa bei ya ndoo/sado ni 50,000/- na kwa kilo ni 7000/kg Ila bei huwa inabadilika mara kwa mara.
Leo ni october 10, 2022;
Ukija nitafuta siku, mwezi au mwaka mwingine panapo uhai na afya , niulize kuhusi bei.

-Ila kila bei zinavyobadilika , binafsi najitahidi kuwa chini ya bei za wengine.

√ Nipo kilwa mkoa wa Lindi Tz,
Tuwasiliane kwa namba 0675659680 calls&whatsApp kwa biashara,
na kama unataka elimu ya hii biashara usipige, njoo whatsApp kwa namba hiyo hiyo niliyoiweka hapo juu (0675659680) utaelekezana namna ya kufanya.


Nawatakia siku njema
 

Attachments

  • IMG_20220927_171709_186.jpg
    IMG_20220927_171709_186.jpg
    713.6 KB · Views: 22
Back
Top Bottom