Nauza dagaa waliokaangwa kutoka Mwanza wenye viungo

Nauza dagaa waliokaangwa kutoka Mwanza wenye viungo

Hongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Hao dagaa hata kama wanauzwa hiyo bei unadhani wanakaagwa na maji. Alaf hiyo bei inawateja wake wewe endelea kujikuna unga huko mabwepande
 
Hongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Kaka, bei uloitaja sio yenyewe kabisa, halafu Hawa dagaa wanatumia mafuta mengi Sana, bado kuni, viungo, waoshaji, wachambuaji, anauekaanga, kubeba mzigo mpaka stand na kusafirisha! Faida hapo sio kubwa Kama unavofikiri, Ni vile dadayako nmeamua nijiajiri baada ya kukosa ajira. Karibu sana
 
Back
Top Bottom