Nauza dagaa waliokaangwa kutoka Mwanza wenye viungo

Nauza dagaa waliokaangwa kutoka Mwanza wenye viungo

Hongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Hii kamba!! Ndoo kubwa wabichi 9000 hd 11000?? We uliuziwa ndoo ya konokono.
 
Back
Top Bottom