Hao dagaa hata kama wanauzwa hiyo bei unadhani wanakaagwa na maji. Alaf hiyo bei inawateja wake wewe endelea kujikuna unga huko mabwepandeHongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Ok.Kwendraaa
Muungeni sasa unabweka nini hapa wakati muuza dagaa za 78000/ unamjua.Hao dagaa hata kama wanauzwa hiyo bei unadhani wanakaagwa na maji. Alaf hiyo bei inawateja wake wewe endelea kujikuna unga huko mabwepande
NdioHaiwezi kuwa hivyo. Ni lazima wataharibika baada ya muda fulani.
Umaskini mbaya mkuu.Hao dagaa hata kama wanauzwa hiyo bei unadhani wanakaagwa na maji. Alaf hiyo bei inawateja wake wewe endelea kujikuna unga huko mabwepande
Nipo mbezi mwisho karibu na stand ya magufuli kaka 0789222279Hongera
Hongera
Hawa dagaa ni watamu sana
Unapatikana Mbezi sehemu gani?
Karibu Sana mkuu 0789222279Hongera. Nitakutafuta. Napenda sana dagaa.
Kaka yangu 0789222279Hapa umenipata.
Kaka, bei uloitaja sio yenyewe kabisa, halafu Hawa dagaa wanatumia mafuta mengi Sana, bado kuni, viungo, waoshaji, wachambuaji, anauekaanga, kubeba mzigo mpaka stand na kusafirisha! Faida hapo sio kubwa Kama unavofikiri, Ni vile dadayako nmeamua nijiajiri baada ya kukosa ajira. Karibu sanaHongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Asante mpendwaB
Nipo mbezi mwisho karibu na stand ya magufuli kaka 0789222279
Unaanza na Sado kaka, karibu 0789222279Hawa dagaa wanaanza na debe au
Isizidi mwezi mmoja kaka maana itapoteza ubora wakeHivi nikikaa na hiko kisado ndani,wanaweza kukaa mda gani wasiharibike?
Dada anategwa hapaNa nikitaka si unaniletea dada?
Delivery n sehemu ya kituo tu kakaDada anategwa hapa
Sado Mimi nataka wakutafuna sado kubwa maana Sina mda wakupikaUnaanza na Sado kaka, karibu 0789222279
Unaweza hifadhi kwenye frijiIsizidi mwezi mmoja kaka maana itapoteza ubora wake
Yaani unapanga wapi uniletee? Haya utawauzia wenye vituoDelivery n sehemu ya kituo tu kaka
Unapata, 2000, 3000, 5000, 10000Sado Mimi nataka wakutafuna sado kubwa maana Sina mda wakupika
Sio hivyo kakayangu, namaanisha sehem ambayo inafikika ki urahisiYaani unapanga wapi uniletee? Haya utawauzia wenye vituo
He🤣🤣🤣🤣🤣 uliwahi nitukana eti kisa nini?? Matusi kama nimekuchukulia mkeo nikampiga debeHongera. Nitakutafuta. Napenda sana dagaa.