Computer4Sale Nauza Desktop full kasoro Keyboard

Computer4Sale Nauza Desktop full kasoro Keyboard

narudia tena muende kkoo ambae anaona bei yangu iko juu kwa bidhaa yenye mnyumbuliko husikaa nenda kkoo tuu na wala silazimishi mtu kununua...

siwezi kulaImisha mtu kununua cjaanza kununua computer jana wala juzi kwaio cwezi kubishana na watu wanaotaka kununua kitu kwa bei wanaitaka wao narudia tena sipo kwenye mnada
Wewe hata kama umeanza kununua kompyuta kipindi cha Adam na Hawa ila huwezi ukatumia hizi specs kwaajili ya kutukana watu.

Mimi nimekua around hizi machines tangu najielewa hizi specs ni za kawaida mno. HDD 500GB? Ni kitu gani sasa wakati 1TB zimejaa siku hizi?
 
Wewe hata kama umeanza kununua kompyuta kipindi cha Adam na Hawa ila huwezi ukatumia hizi specs kwaajili ya kutukana watu.

Mimi nimekua around hizi machines tangu najielewa hizi specs ni za kawaida mno. HDD 500GB? Ni kitu gani sasa wakati 1TB zimejaa siku hizi?

sawa kwani maduka si yapo ndugu pitiaaa hapo kkoo kachukue cpu yenye sifa hizo kwa bei unayojipangiaa
 
IMG_0452.jpg
 
Sasa umeona nani hana mashine?

Au ndiyo mara ya kwanza kua na kompyuta unahisi inatosha kununulia kiwanja?

wewe huna ata ata kama unayo ni zile zile tu cor 2 duo i3 i5 i7
 
basi fanya kazi au tafuta zako mawewe uuze tukupangie bei ya vichochoroni
Mbona nishauza sana vitu vya kompyuta humu humu? Kuanzia external mpaka monitor kwahiyo wewe hapa unaleta komedi huku bidhaa shit tu
 
Mbona nishauza sana vitu vya kompyuta humu humu? Kuanzia external mpaka monitor kwahiyo wewe hapa unaleta komedi huku bidhaa shit tu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah hii thread imekaa either kitoto au kimipashomipasho,huwezi fanya biashara kwa kauli kali kama hizi,ingekuwa hivi maduka mengi sana yangekuwa yameshafungwa.
 
sina kauli ya biashara mkuu hasa kwa mtu anaedhihaki bidhaa ninayouza tena hasa kwa kunipanfia bei ya kuuza
Umeanza na shombo kabla watu hawajaanza kukudhihaki! Yaani unafanya kana kwamba ni wewe peke yako unauza PC, wakati hata PC yenyewe ni ya kawaida sana!!! Unajua nini?! Baada ya kuangalia specs nikaona niangalie HDD, na kama ingekuwa na angalau 1TB ningeweza kufikiria kuwa nayo si kwa sababu ya ubora wa mashine yenyewe bali ukubwa HDD ili hatimae niitumie kama Storage Unit tu! Hiyo ndo mashine unayotambia kana kwamba una bonge la mashine la kukufanya uongee shombo!!
 
Umeanza na shombo kabla watu hawajaanza kukudhihaki! Yaani unafanya kana kwamba ni wewe peke yako unauza PC, wakati hata PC yenyewe ni ya kawaida sana!!! Unajua nini?! Baada ya kuangalia specs nikaona niangalie HDD, na kama ingekuwa na angalau 1TB ningeweza kufikiria kuwa nayo si kwa sababu ya ubora wa mashine yenyewe bali ukubwa HDD ili hatimae niitumie kama Storage Unit tu! Hiyo ndo mashine unayotambia kana kwamba una bonge la mashine la kukufanya uongee shombo!!

ujalazimishwa ukumbuke maduka yapo ukiona mimi nauza bei kali kapambane dukani
 
Back
Top Bottom