Mbassa jr
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,234
- 3,213
Nauza duka bei 3m haishuki, limelipiwa kodi mpka mwaka unaisha,lina leseni ya biashara inaexpire mwakani mwez wa 4 pia lina dawa za kuanzia na makabati 4 ya aluminium na mlango wake.
Location ipo Vikindu, duka lipo barabarani kusudi la kuliuza ni kuhamia mkoani kikazi,
Kwa alie interest nicheki .
Update
Naendelea kupokea simu za watu kuulizia kama duka bado lipo... ndugu zangu duka lilishapata wateja siku nyingi na kuuzwa
Location ipo Vikindu, duka lipo barabarani kusudi la kuliuza ni kuhamia mkoani kikazi,
Kwa alie interest nicheki .
Update
Naendelea kupokea simu za watu kuulizia kama duka bado lipo... ndugu zangu duka lilishapata wateja siku nyingi na kuuzwa