INAUZWA Nauza Duka la vinywaji (Container, Crates na mkataba wa eneo) GOBA Njia nne

INAUZWA Nauza Duka la vinywaji (Container, Crates na mkataba wa eneo) GOBA Njia nne

Biashara yako ilikuwa nzuri mkuu ila mama Samia alipoondoa mabanda barabaran ndio alikupotezeaa watejaa nakumbukaa mwanzo ulikuwa njiaa nne kbs pale kabla yakuhamia lalata ,,yule dadaa bonge ameshndwa kusisimamia biashara kwel au lalata pale amekufunika yule mpnzan wako wa karibu na barbershop palee maana anakimbizaaa c poaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, nipe code nikufahamu kaka. Upinzani wa biashara upo kila siku, sema cha msingi ni kutoa huduma bora.

Sema tatizo kubwa lilikuwa usimamizi maana mimi muda mwingi sikuwa Dar, inaweza pita hata miezi mitatu, ukirudi hasara, inabidi uonzee hela dukani, nikashindwa hapo.
 
Back
Top Bottom