ndumbo jr
Member
- Jul 4, 2017
- 74
- 30
boss naomba namba za simu plsBado ziko mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
boss naomba namba za simu plsBado ziko mbili
Haujanibu pm mkuu
Sawa mkuu nakutumiaboss naomba namba za simu pls
Lipo mkuu nakucheki pmNaitaji eneo bado Lipo mkuu ??
Nakutumia mkuuWeka namba ya simu
Tayari mkuu,ndo nimeingiaHaujanibu pm mkuu
Tayari mkuu angalia sasaMbona hujaweka namba ya simu?
eneo la ukubwa wa ekari tano.kila eka moja milioni 4.mtaa wa msangani .umbali toka morogoro road 4km
huduma zote za kijamii zipo .
eneo zuri kwa makazi,shule.ufugaji na kilimo
kwa mawasiliano zaidi pm
Sawa nakutumianamba ya simu nije kupaona
Maeneo gani mzeeKuna eneo letu hapo Heka kumi
Maeneo gani mzee
poa mkuuKaribia na kambi ya jeshi hapo
WapiKuna eneo letu hapo Heka kumi
uko uko msangani kasemaWapi