INAUZWA Nauza external hard disc 2TB nikuze mtaji wa biashara

INAUZWA Nauza external hard disc 2TB nikuze mtaji wa biashara

That's great
Mkaguzi nimefanya yangu

wp_ss_20220207_0002.png


wp_ss_20220207_0001.png
 
Wapendwa.
Siko hapa kwa ajili ya ku expose shida zangu, ila naomba msaada kwenu ndugu zangu.

Ninauza hard disk ya 2TB ninahitaji sh. 200,000/- tu ili nilipie fremu ya biashara.
Kudanga siwezi, wala sio hulka yangu, ndio nimeingia rasmi kwenye ujasiriamali.
View attachment 2111353
Call +255 755 233 968
Safi mwanamke unapambana
 
Kwenye mapambano michawi iko mingi sana, michawi ya kwanza ni mianaume. Ukiinuka kidogo inanuna, hiyohiyo inataka uilee, hiyohiyo inakuwekea vikwazo ili wakulale, hiyohiyo haitaki uwashinde kimafanikio. Hiyohiyo inazalisha na kukukimbi, yaani keroooo
Sasa sii ndio maana ni mapambano. Ila usitunyime wanaume mbususu sawa mammy
 
Back
Top Bottom