Habari zenu wadau wa Jamiiforums, matumaini yangu kuwa hamjambo, wakati tukielekea kuumaliza mwaka 2018 kuingia 2019 na zikiwa zimebaki siku chache, nikaona ni vyema niwatangazie kuwa nauza vitu tajwa hapo juu.
Fridge aina ya PINETECH milango miwili = Tsh420,000(Mazungumzo yapo), Kabati jeusi la vyombo original milango miwili = 330,000(Mazungumzo yapo), Zulia la manyoya = Tsh 65,000(Mazungumzo yapo), Fan aina ya Panasonic maarufu kama Panga boy = Tsh 65,000(Mazungumzo yapo) Na Rice Cooker ya kupikia hata kilo3 na kuendelea Tsh 50,000(Mazungumzo yapo).
Nimeambatanisha na baadhi ya picha zake, vitu vyote nimetumia kwa takribani kipindi cha miezi 6 hivyo vipo kwenye hali nzuri, lengo la kuuza ni kuwa nataka nikaangalie utaratibu mwingine ugaibuni.
Kwa Mawasiliano : +255 629 22 76 97 (Karibu Sana). Napatikana Dar es salaam
Fridge aina ya PINETECH milango miwili = Tsh420,000(Mazungumzo yapo), Kabati jeusi la vyombo original milango miwili = 330,000(Mazungumzo yapo), Zulia la manyoya = Tsh 65,000(Mazungumzo yapo), Fan aina ya Panasonic maarufu kama Panga boy = Tsh 65,000(Mazungumzo yapo) Na Rice Cooker ya kupikia hata kilo3 na kuendelea Tsh 50,000(Mazungumzo yapo).
Nimeambatanisha na baadhi ya picha zake, vitu vyote nimetumia kwa takribani kipindi cha miezi 6 hivyo vipo kwenye hali nzuri, lengo la kuuza ni kuwa nataka nikaangalie utaratibu mwingine ugaibuni.
Kwa Mawasiliano : +255 629 22 76 97 (Karibu Sana). Napatikana Dar es salaam
Attachments
-
IMG_20181220_171039.jpg87.5 KB · Views: 124 -
IMG_20181220_171100.jpg93 KB · Views: 98 -
IMG_20181220_171113.jpg108.4 KB · Views: 111 -
IMG_20181209_185100.jpg64.1 KB · Views: 117 -
IMG_20181210_073758.jpg51.8 KB · Views: 88 -
IMG_20181210_073828.jpg92.2 KB · Views: 115 -
IMG_20181220_184226.jpg56.6 KB · Views: 63 -
IMG_20181220_184238.jpg115.8 KB · Views: 63 -
IMG_20181220_184248.jpg97.8 KB · Views: 60