- Thread starter
- #21
Na-Update Muda Sio Mrefu BossPicha ya rice cooker mkuu, naitaka hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na-Update Muda Sio Mrefu BossPicha ya rice cooker mkuu, naitaka hiyo
Ndio yule nilie kuchek ukanitumia WhatsApp.. wa mwenge, kesho naja ichukuaNa-Update Muda Sio Mrefu Boss
Na-Update Muda Sio Mrefu BossPicha ya rice cooker mkuu, naitaka hiyo
Pa1 Sana Mkuu ...Nimekuwekea UtaikutaNdio yule nilie kuchek ukanitumia WhatsApp.. wa mwenge, kesho naja ichukua
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Hapana...Haina maslahi BossMkuu kula 250k hii frige
Tayari nimeshauza, Vilivyobakia ni king'amuzi cha Dstv na ungo wake = Tsh 60,000, Kabati la milango miwili=330,000(Mazungumzo yapo), Rice Cooker, Jiko Dogo la Gas(Mihan), Zulia la manyoya, pamoja na glass, sahani kali za udongoTv vp huuzi?
Bado lipo, nicheki kwenye hiyo namba yangu, bado lipo standard kbsnahitaji zulia ndugu
Dstv na ungo 50000 mkuu.Tayari nimeshauza, Vilivyobakia ni king'amuzi cha Dstv na ungo wake = Tsh 60,000, Kabati la milango miwili=330,000(Mazungumzo yapo), Rice Cooker, Jiko Dogo la Gas(Mihan), Zulia la manyoya, pamoja na glass, sahani kali za udongo
Nipigie UJE UchukueDstv na ungo 50000 mkuu.
Nataka hiyo rice cooker nina 30,000/= cashHabari zenu wadau wa Jamiiforums, matumaini yangu kuwa hamjambo, wakati tukielekea kuumaliza mwaka 2018 kuingia 2019 na zikiwa zimebaki siku chache, nikaona ni vyema niwatangazie kuwa nauza vitu tajwa hapo juu.
Fridge aina ya PINETECH milango miwili = Tsh420,000(Mazungumzo yapo), Kabati jeusi la vyombo original milango miwili = 330,000(Mazungumzo yapo), Zulia la manyoya = Tsh 65,000(Mazungumzo yapo), Fan aina ya Panasonic maarufu kama Panga boy = Tsh 65,000(Mazungumzo yapo) Na Rice Cooker ya kupikia hata kilo3 na kuendelea Tsh 50,000(Mazungumzo yapo).
Nimeambatanisha na baadhi ya picha zake, vitu vyote nimetumia kwa takribani kipindi cha miezi 6 hivyo vipo kwenye hali nzuri, lengo la kuuza ni kuwa nataka nikaangalie utaratibu mwingine ugaibuni.
Kwa Mawasiliano : +255 629 22 76 97 (Karibu Sana). Napatikana Dar es salaam
Nataka hiyo rice cooker nina 30,000/= cash
nishakupigiaNipigie UJE Uchukue
vip icho king'amuzi cha Dstv bado kipo mkuuTayari nimeshauza, Vilivyobakia ni king'amuzi cha Dstv na ungo wake = Tsh 60,000, Kabati la milango miwili=330,000(Mazungumzo yapo), Rice Cooker, Jiko Dogo la Gas(Mihan), Zulia la manyoya, pamoja na glass, sahani kali za udongo
Bado Kipo Tajiri Yanguvip icho king'amuzi cha Dstv bado kipo mkuu
Ngoja nipime alafu nitakupa majibuZulia ni size gani hilo
Poa mkuu,nakusubiriNgoja nipime alafu nitakupa majibu