King Victor
JF-Expert Member
- Feb 19, 2016
- 463
- 293
Mkuu mbona Kama group limejaa hive?Vilete hapa Pwani Investment Agency
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona Kama group limejaa hive?Vilete hapa Pwani Investment Agency
Ajitahidi aweke bei rafiki.Bei zako kubwa sana mkuu au ni dalali wewe?
Duh pole sana mkuuAjitahidi aweke bei rafiki.
Jana nimeenda kununua viatu vya watoto vya shule nimefika duka la kwanza nikaambiwa 22000 bei ya kuuza 20000 nikaenda mbele nikaona 17000 nikalialia nikaambiwa 15000 nikanunue pea mbili Kwa elfu 30.Nimeenda duka jingine tena nikaona viatu vile vile vinauzwa elfu kumi na nne aisee nikasema hapa ni mjini.
Haina Maslahi... Fridge Na Fan Vimeshauzwa...Vyote Nina lak5 cash
Ngoja nijoin hapa naweza pata kitu cha kununuaVilete hapa Pwani Investment Agency
Nimekupigia simu majuz nije chukua rice cooker hiyo holaa, nime text holaaHaina Maslahi... Fridge Na Fan Vimeshauzwa...
Nimekupigia simu majuz nije chukua rice cooker hiyo holaa, nime text holaa
bado ipo??
hiyo namba ni yako sio yako??Hapana Sio Kweli.. JIFUNZE KUZUNGUMZA UKWELI.... Simu Yangu Iko Hewani 24/7 Hukupiga Wala Kutuma Ujumbe
Hapana Hii Text Sikuipata Japo Namba Ni Yangu...hiyo namba ni yako sio yako??
Mimi na wewe nani ajifunze kusema ukweli??? ngoja nitafute na screenshot ya callsView attachment 975641
Hizo tik mbili zinaashiria nn hapo kwenye text?? umeshindwa kua mkwel hata kwenye hilo?? nilipiga simu mbili pia kama inavyoonekana hapoHapana Hii Text Sikuipata Japo Namba Ni Yangu...
Bado Ipo Mkuu... Karibu Mkuu Hata Sasa HiviHizo tik mbili zinaashiria nn hapo kwenye text?? umeshindwa kua mkwel hata kwenye hilo?? nilipiga simu mbili pia kama inavyoonekana hapo
Bado rice cooker ipo? niifuate kesho View attachment 975653
Huenda Nilikuwa VyomboHizo tik mbili zinaashiria nn hapo kwenye text?? umeshindwa kua mkwel hata kwenye hilo?? nilipiga simu mbili pia kama inavyoonekana hapo
Bado rice cooker ipo? niifuate kesho View attachment 975653
kesho jion nitakuchekiBado Ipo Mkuu... Karibu Mkuu Hata Sasa Hivi
kesho jion nitakucheki
Mkuu tupeane ramani ughaibuni huko ...vyuma kwasasa siyo vimekaza tu bali vishaanza kuumana na kusagana!Vipi unahitaji mkuu? Nipigie najua hatuwezi kushindwana
Vyuma Havijakaza Kaka Bali Ni Maamuzi Tuu...Mkuu tupeane ramani ughaibuni huko ...vyuma kwasasa siyo vimekaza tu bali vishaanza kuumana na kusagana!
Hilo lipo nje ya uwezo wangu kidogo MkuuKwangu vimekaza ndo naomba ramani huko ughaibuni hata non professional job ni sawa tu!