kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Ipo ten kamanda miezi mibovu hiiWadau, gari bado lipo. Kwa anayehitaji, mawasiliano ni 0746311251. Ruksa kukagua muda wowote.
Gari bado ipo ila sijui kama itakuwepo hadi muda huo. Na kama ni dream car yako basi ungekuwa na bahati sana maana ungepata gari la uhakika na nakuhakikishia lisingekusumbua chochote. Ukiachana na hilo, nakuombea upate pesa nyingi zaidi ya unazozifikiria ili utimize ndoto yako comfortably. 👊🏿Nataman tangazo hili lingekua limepostiwa april 25. Maana ndo ntakua na pesa na gari hii ndo dream.
AminaAsante sana ndugu yangu. 🙏🏾
Sina uhakika kama nimelielewa swali lako vizuri ila kama unaongelea hili gari basi ngoja nikupe maelezo kidogo.Hivi kumbe inawezekana kununua gari mwaka 2022 kipindi usajili ni number D nikaja kusajili miaka miwili mbeleni number ikianza E?
Huna mke wa kumwachia aitumie ukiwa Safarini? Siyo powa ulichomfanyia.Haina kipengele chochote kwasababu sijaitumia sana. Muda mwingi nilikuwa safarini.