Nauza gari yangu, GX100 kwa member haina udalali

Nauza gari yangu, GX100 kwa member haina udalali

Sikukatishi tamaa Ila nakueleza ukweli, mil 4 Tena kwa gari hiyo tena kwa namba B Huuzi.
Hapo hamna hamna Ni mil 2.5 ikizidi sana mil 3.

Mil 4 ni bei ya Altezza, Verossa, GX 110, na jamii ya hizo tena kwa namba C.
Asante Kwa maoni yako, Altezza, GX110 na Verossa zipo za bei chini zaidi ya hiyo uliyotaja, mimi si mgeni wa kumiliki magari, nina umri wa miaka 43 sasa hivi, nilianza kumiliki magari nikiwa na miaka 26. Nilianza na Cresta Balooni, niliuza Dodoma miaka hiyo, Suzuki Escudo, nikauza hapa hapa Dar, Subaru Legacy tena toleo la kwanza, 1990 nikauza Arusha, nikanunua Cresta kama hilo hapo juu, rafiki yangu akanivua morogoro, nikanunua Mark ii GR kutoka Las Vegas Casino, gari ya kampuni na ilikuwa imesimama balaa, hilo nilikuwa nasimamishwa na watu wakitaka niwauzie. Niliuza kwa jamaa mmoja anaduka la matairi Temeke, baadaye nikabahatisha hili kwa jamaa mmoja Arusha, yeye aliuza baada ya kununua Harrier. Ukisoma hayo maelezo utagundua mimi si njegeka. Najua magari na najua engines, transmissions, spare parts, nina wauza spare ambao ni marafiki kutoka tandika/urafiki kwa wakataji hadi ilala shaurimoyo. Kama unataka kupunguziwa unaweza kupiga simu, ila Udalali hapana, mnaumiza wanunuzi
 
Asante Kwa maoni yako, Altezza, GX110 na Verossa zipo za bei chini zaidi ya hiyo uliyotaja, mimi si mgeni wa kumiliki magari, nina umri wa miaka 43 sasa hivi, nilianza kumiliki magari nikiwa na miaka 26. Nilianza na Cresta Balooni, niliuza Dodoma miaka hiyo, Suzuki Escudo, nikauza hapa hapa Dar, Subaru Legacy tena toleo la kwanza, 1990 nikauza Arusha, nikanunua Cresta kama hilo hapo juu, rafiki yangu akanivua morogoro, nikanunua Mark ii GR kutoka Las Vegas Casino, gari ya kampuni na ilikuwa imesimama balaa, hilo nilikuwa nasimamishwa na watu wakitaka niwauzie. Niliuza kwa jamaa mmoja anaduka la matairi Temeke, baadaye nikabahatisha hili kwa jamaa mmoja Arusha, yeye aliuza baada ya kununua Harrier. Ukisoma hayo maelezo utagundua mimi si njegeka. Najua magari na najua engines, transmissions, spare parts, nina wauza spare ambao ni marafiki kutoka tandika/urafiki kwa wakataji hadi ilala shaurimoyo. Kama unataka kupunguziwa unaweza kupiga simu, ila Udalali hapana, mnaumiza wanunuzi
Oooh nimesahau, kuna Mark ii GX110 kwenye hiyo listi na nilitumia muda wa mwaka mmoja tu, nikavuliwa na rafiki na ndugu yangu mchungaji wangu yuko mbeya, hayo siyo maneno matupu references zipo
 
Sikukatishi tamaa Ila nakueleza ukweli, mil 4 Tena kwa gari hiyo tena kwa namba B Huuzi.
Hapo hamna hamna Ni mil 2.5 ikizidi sana mil 3.

Mil 4 ni bei ya Altezza, Verossa, GX 110, na jamii ya hizo tena kwa namba C.

Sio kweli, namba is not a car, Hii gari 4m anapata, Labda iende kwa dalali, yeye anaweza iuza kabisa kwa 4m
 
Kuliko kununua bodaboda watoto na mke wachomwe jua, naendelea kupata hasira nikiona gari inauzwa bei kama hizi 2023 ni mwaka wangu nami
 
Kwa maelezo haya japo huwa sipendi kununua chochote mkononi hapa nachukua hili gari lingekuwa miongoni mwa malengo yangu

Kama una gari za mizigo tuwekee humu nipo mhitaji
 
Back
Top Bottom