Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Weka namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamnunulie mpya kwa chinga wa dunia bro.Kweli mke wangu nimnunulie hereni used! Inaleta ukakasi
Mungu ni mwema utapata wasamaria wema wa kuzinunua
Nenda love connect bana 😹Weka namba
No hard feelings ndio changamoto za biashara mrembo madam EveKamnunulie mpya kwa chinga wa dunia bro.
Nikafanyaje na biashara ni hapa manNenda love connect bana 😹
Pole, kuna mtu alipita nazoDah hereni zangu kama hizi zilipotea katika mazingira ya kutatanisha.....
Bro mbona hamna shida, anaehitaji atanunua....mambo ya mkeo humnunulii used vipi tena, sasa nikiuza kwa sonara hizi si ndo mkeo atazivaa au???No hard feelings ndio changamoto za biashara mrembo madam Eve
Sawasawa.mikoani situmi
Mbona maneno yamekuwa mengi. Wateja watakuja tu madam mimi siwezi kufungia riziki yakoBro mbona hamna shida, anaehitaji atanunua....mambo ya mkeo humnunulii used vipi tena, sasa nikiuza kwa sonara hizi si ndo mkeo atazivaa au???
Sawa uwe na weekend njemaMbona maneno yamekuwa mengi. Wateja watakuja tu madam mimi siwezi kufungia riziki yako
Eva ngoja nitumie hii opportunity kukuona live unafananajeMatajiri hamjambo......
Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...
Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.
Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.
Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640
Mwambie sonara ulinunua laki 6.......nusu bei yke laki 3Sonara anataka kwa nusu bei nlionunulia, hapana hiyo bei....heri niendelee kupendeza nazo.
Huwa najiuliza mno huyo mtu alipita nazo vipi maana nilikuwa naishi peke yangu na sehemu ninayoweka hata angeingia mtu sio rahisi kuchukua.....cheni pia ya dhahabu ilipotea ndani humo humo. Sijui kuna kitu nyuma yake au vipi.Pole, kuna mtu alipita nazo