MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Sasa nalituma wapi hilo gawio dada na ilihali namba tu Sina tajiri wangu?Nipe kwanza gawio la brac ndo uniite dada, usinfanye mi mtoto....😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nalituma wapi hilo gawio dada na ilihali namba tu Sina tajiri wangu?Nipe kwanza gawio la brac ndo uniite dada, usinfanye mi mtoto....😹
Acha tuu nimekosa deal basi ntauza hadi bra nisipo kaa macho....M
Upo wapi kwani?😀😀Mwalimu haujapata deal la kuandikisha uchaguzi
Nakuja pm na namba, jina litakuja eveSasa nalituma wapi hilo gawio dada na ilihali namba tu Sina tajiri wangu?
Basi mimi huwa najiuliza sana hereni na cheni zangu zilipotea vipi ndani. Kwanza nilikuwa naishi peke yangu, sikuwahi kuleta rafiki au mtu yoyote ndani kusema may be aliniibia. Sikuwa na mazoea na majirani kusema anaweza kuwa suspect. Sema Mungu ndio anajuaSio kweli hiyo kauli walikua wanaambiwa Babu zetu ili wasifiche Gold wampelekee muhindi kuuza..walitumia mbinu nyingi sana
18kNi swali tu, je ni carat ipi hiyo bibie ingawa imerudi sikioni
Kumbe bei hazitofautiani na huku daa na ndio mna machimbo jamani
Naona kama ngekewa ,yaani kiufupi furaha niliyo nayo sitakiwi kubaki ndani kuangalia kumbukizi za baba wa taifa ila nitoke nikafurahie .Nakuja pm na namba, jina litakuja eve
Tatizo ni kumbukumbu kujua uliweka wapi mara ya mwisho ndio tatizo ila haziwezi kuyeyuka kama unavyofikiria..Basi mimi huwa najiuliza sana hereni na cheni zangu zilipotea vipi ndani. Kwanza nilikuwa naishi peke yangu, sikuwahi kuleta rafiki au mtu yoyote ndani kusema may be aliniibia. Sikuwa na mazoea na majirani kusema anaweza kuwa suspect. Sema Mungu ndio anajua