Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Kwa mtu anayehitaji kununua hisa, mi nauza hisa zangu za Mkombozi Bank. Zipo 643
Bei ya sokoni kwasasa ni sh. 1500 kwa hisa moja but we can negotiate.
Bei ya sokoni kwasasa ni sh. 1500 kwa hisa moja but we can negotiate.