Car4Sale Nauza IST yangu

Car4Sale Nauza IST yangu

dizzled

Senior Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
127
Reaction score
60
CC 1290
Year 2005
In Mint condition
Full doc. file
Bei 9.8m (maongezi yapo)

Watsap 0715140001

20210514_145601.jpg


20210514_150042.jpg


20210514_145637.jpg


20210514_145742.jpg


20210514_145725.jpg


20210514_145846.jpg
 
Gari ni nzuri, ila kwa bei uliyoanzia mkuu hata kama kuna negotiations ni ya juu kiasi.
 
Unasuggest angeanza na ngapi mkuu?

Nimeona wadau wamesema ni bei sahihi.

Mimi nilipiga hesabu za kwamba usajili wa DP ni wa almost 2 years, so discount ya 10% kwa mwaka ingekula walau 2.2m (on straight-line basis) kutoka bei ya kuifikisha hapa nchini which is around 11m.

Hivyo, 8.5 - 9m ni bei nzuri kwa kuanzia.
 
Asanteni kwa updates, binafsi nilichukulia vile DP ina zaidi ya mwaka na nusu mtaani, nikaona ni bei juu.

All in all, mteja akifika akaikagua atakubali, maana ubora unabebwa na facts kibao.
ni bei ya kawaida tu
pia body inaonekana bado ipo vizuri
kwa upande wa engine tumuachie yeye na mteja wake
 
Gari imetulia sanaaaaa mkuu. Mileage yake ni Kilometer ngapi?
 
Back
Top Bottom