Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Ist dp ni bei ya kawaida sana hiyo tena ya kuuzia shidaGari ni nzuri, ila kwa bei uliyoanzia mkuu hata kama kuna negotiations ni ya juu kiasi.
bei yakawaida sana ilifaa aanze na 10mGari ni nzuri, ila kwa bei uliyoanzia mkuu hata kama kuna negotiations ni ya juu kiasi.
bei yakawaida sana ilifaa aanze na 10m
Kwa Ist dp ni bei ya kawaida sana hiyo tena ya kuuzia shida
Unasuggest angeanza na ngapi mkuu?Gari ni nzuri, ila kwa bei uliyoanzia mkuu hata kama kuna negotiations ni ya juu kiasi.
Unasuggest angeanza na ngapi mkuu?
ni bei ya kawaida tuAsanteni kwa updates, binafsi nilichukulia vile DP ina zaidi ya mwaka na nusu mtaani, nikaona ni bei juu.
All in all, mteja akifika akaikagua atakubali, maana ubora unabebwa na facts kibao.
ni bei ya kawaida tu
pia body inaonekana bado ipo vizuri
kwa upande wa engine tumuachie yeye na mteja wake
Ikifika 7 uje nimnunulie mama watoto wangu
Kwani ole sabaya hajakununulia [emoji23][emoji23]Mama watoto nataka Harrier buana
Engine haijawah guswa wakuu sijaipiga tu picha ila nitapiga.......kwa sasa haihitaji service yoyote kwa kuwa nmefanya service 2 weeks ago, pia bima inaisha aprili, mwakanini bei ya kawaida tu
pia body inaonekana bado ipo vizuri
kwa upande wa engine tumuachie yeye na mteja wake
jamani mbona dalali mie sijamkatisha tamaa?hata usiwaze hii gari inatoka ingawa madalali watakukatisha tamaa.
Mama watoto nataka Harrier buana
haha basi wewe ni dalali mzuri nitakuwa nakupa kazi.jamani mbona dalali mie sijamkatisha tamaa?