Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1]Boss, mambo yamekuwa tofauti kidogo na matarajio yetu ya pesa kuzagaa mtaani, fikiria kushusha bei kidogo, 6.5m wataigombania sana.
Nilikuwa sijui Kumbe hizi gari ni ngumu??.Gari nzuri sana hizi..ulaji wa mafuta,ugumu yaani safi kabisa..zitaishi sokoni kwa kipindi kirefu sana!
Roho ya Paka..Nilikuwa sijui Kumbe hizi gari ni ngumu??.
ongeza ufike saba nikupe ISTBoss, mambo yamekuwa tofauti kidogo na matarajio yetu ya pesa kuzagaa mtaani, fikiria kushusha bei kidogo, 6.5m wataigombania sana.
Wimbi kubwa kuliko ni Brevis wengi wenye nazo wanatafuta wateja 85% wenye brevis hawazitaki.Kuna wimbi la watu kuuza TOYOTA ist, Crown, Brevis, subaru forester na imprezza-shida nini wadosi mnauza magari?
Useless kuachia gari wakati una shida.Mleta mada huna mke au mchepuko umwachie gari naye atambe rodini?
hahahaongeza ufike saba nikupe IST
nitumie picha zake 0683011003ongeza ufike saba nikupe IST
Forester new model inatakiwaaWimbi kubwa kuliko ni Brevis wengi wenye nazo wanatafuta wateja 85% wenye brevis hawazitaki.
Subaru Forester zile old model wenye nazo wanatafuta wateja.
You're not serious ...9M DKP !!???? mkuu unajua sa hivi showroom zinaenda bei gani !!??