Nauza Kabati la Mninga Bei Sawa Na Bure tsh 299,000 /=

Nauza Kabati la Mninga Bei Sawa Na Bure tsh 299,000 /=

Bujoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,115
Reaction score
2,231
Habari za leo ndugu zangu najua mko poa, naenda kweny dhumuni langu kama kichwa cha uzi kinavojieleza, nauza kabati langu la mninga, nimelinunua lina mwaka mmoja tu ni 6×5 lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni tsh 299,000 /= halina kipengere chochote wala changamoto yoyote ni mali yangu na kuthibitisha hilo kabati liko ndani kwangu napokaa ni Tabata bima njoo ulichukue kabla hawajakuwahi wengine.

Nadhani mnajua mbao ya mninga ulivo imara na bei yake ni kubwa, sema mimi nina shida, pia nilisha wahi kuuza vitu tofauti tofauti na hamna mtu alienunua kitu kwangu akapata changamoto yoyote..picha sio nzuri kwa sababu ya simu niliyotumia kupiga ila kabati ni kali sana ukiiona.. Nipigie uje tabata bima 0618266848.
 

Attachments

  • IMG-20250220-WA0019.jpg
    IMG-20250220-WA0019.jpg
    34.9 KB · Views: 4
  • IMG-20250220-WA0020.jpg
    IMG-20250220-WA0020.jpg
    38 KB · Views: 4
Habari za leo ndugu zangu najua mko poa, naenda kweny dhumuni langu kama kichwa cha uzi kinavojieleza, nauza kabati langu la mninga, nimelinunua lina mwaka mmoja tu ni 6×5 lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni tsh 299,000 /= halina kipengere chochote wala changamoto yoyote ni mali yangu na kuthibitisha hilo kabati liko ndani kwangu napokaa ni Tabata bima njoo ulichukue kabla hawajakuwahi wengine.

Nadhani mnajua mbao ya mninga ulivo imara na bei yake ni kubwa, sema mimi nina shida, pia nilisha wahi kuuza vitu tofauti tofauti na hamna mtu alienunua kitu kwangu akapata changamoto yoyote..picha sio nzuri kwa sababu ya simu niliyotumia kupiga ila kabati ni kali sana ukiiona.. Nipigie uje tabata bima 0618266848.
Kila la kheri Mkuu
 
Naona umetumia 'consumer psychology'
Jf ukileta biashara yako ujiandae na comments.
 
Outdated muundo ! Hapo sana sana unaweza pata 150k ! Mm Hata 100k sitoi, ! Napeleka wapi huo mfasheni?
 
Back
Top Bottom