INAUZWA Nauza Kamera zangu mbili

INAUZWA Nauza Kamera zangu mbili

Unataka camera ya aina gani na una bei gani mzee ninazo nyingi Hadi drone sema unataka ya aina gani
Mkuu nilisoma Uzi wako ule wa kutafuta kijana wa kufanya nae kazi Kwa makubaliano maalumu..ukasema ww upo nje..

Kiufupi nimekuwa interested na bei ya huyu jamaa Ila ndy hivyo tena mzigo ameuza,Nina bajeti ya 400k mkuu wangu
 
Mkuu nilisoma Uzi wako ule wa kutafuta kijana wa kufanya nae kazi Kwa makubaliano maalumu..ukasema ww upo nje..

Kiufupi nimekuwa interested na bei ya huyu jamaa Ila ndy hivyo tena mzigo ameuza,Nina bajeti ya 400k mkuu wangu
Ni kweli mzee na ndio maana nilikuuliza ili uniambie ni Aina gani nije nazo utakuja kunilipa hela huko
 
Mkuu nilisoma Uzi wako ule wa kutafuta kijana wa kufanya nae kazi Kwa makubaliano maalumu..ukasema ww upo nje..

Kiufupi nimekuwa int heerested na bei ya huyu jamaa Ila ndy hivyo tena mzigo ameuza,Nina bajeti ya 400k mkuu wangu
Usijali mkuu
 
Usijali mkuu
To make short and clear,ni kwamba ndy nataka nianze kudeal na photography,so ninajichanga bado,najua camera Kali lazima nijipange,lkn km utaamua kunisaidia mdogo wako nakuandalia 500k unisaidie camera mzuri

Nimeogopa Kusema ya Aina gani,ni km najitega hivi..we nisaidie Tu Kaka Kwa hiyo bajeti
 
To make short and clear,ni kwamba ndy nataka nianze kudeal na photography,so ninajichanga bado,najua camera Kali lazima nijipange,lkn km utaamua kunisaidia mdogo wako nakuandalia 500k unisaidie camera mzuri

Nimeogopa Kusema ya Aina gani,ni km najitega hivi..we nisaidie Tu Kaka Kwa hiyo bajeti
Natamani kweli kukupa msaada Ila Sasa dau dogo rafiki
 
Back
Top Bottom