February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Sasa baada ya kuuza hicho kitabu na kumwaga Siri za utajiri kwanini usijioganize na ndugu zako wote mkachukue hizo Mali?Wazungu waliweza kuficha mali, wakasali maombi yao juu likatokea ziwa lenye maji,kuzilinda mali zao walizoficha zisiibwe.
Unamaana vitabu visiuzwe? Acha uchoyo mkuu, kama huitaji potezea tu.Sasa baada ya kuuza hicho kitabu na kumwaga Siri za utajiri kwanini usijioganize na ndugu zako wote mkachukue hizo Mali?
Sasa wewe umechukua treasure kiasi gani kupitia hicho kitabu?Unamaana vitabu visiuzwe? Acha uchoyo mkuu, kama huitaji potezea tu.
That is special book, kila kitu kimefichwa kwenye maandishi, kwa karne na karne, Note that!Haina tofauti na kuambiwa kuwa kila siku kuna odds 5 za fixed matches, lipia utumiee
Wewe mpaka sahizi umefukua treasure ngapi?That is special book, kila kitu kimefichwa kwenye maandishi, kwa karne na karne, Note that!
Mf, elimu ya kwenda mwezini ilishaandikwa kwenye vitabu kwa karne na karne na kina napoleon, kinachofanyika ni kusoma elimu ile na kuipractise!
Am not in that field, wapo ambao wapo kwenye hiyo field, sasa kitabu kinaeleza step one - final, kwanza kwa ku sense kama kuna treasure?, maana si kila kilichofichwa kilikuwa ni mali, Yapo mabaya pia.Wewe mpaka sahizi umefukua treasure ngapi?
Maandishi yameficha mambo mengi sana ya thamani.Kingekuwa kimekusaidia wewe udingekiuza,ungekigawa Bure kabisa
Mkuu haya makitu yana watu wake na kila mtu, mfano mimi sina hobby nayo, kabisa!, lakini kitabu ninacho! Nasoma tu.Kazi kwelikweli
Big Rope.....HahhahahaaaaaaMy friend....
This is a very big rope
Huyu jamaa ana masihara sanaYani laki ziwe 5, kwenye kila laki elf 10 ziwe 10?? Au umekosea sifur 2 ilitakiwa buku ziwe 5?
Weka hitaji lako muhimu nikisaidie hapa bure!, itanichukuwa masaa maana kuchambua vitabu siyo kazi ndogo!Huyu jamaa ana masihara sana
"CHARM"Kina uwezo mkubwa kupindukia hasa kwa wale watu wa treasury finder
Siri nyingi duniani zimefichwa kwenye vitabu, tusome vitabu.