Nauza kitabu hiki kwa sailing 500,000/- tu soft copy!

Nauza kitabu hiki kwa sailing 500,000/- tu soft copy!

"CHARM"
Unaniambia kinanuwezo mkubwa siyo?
Tuelezee wewe kimekuletea manufaa gani zaidi ya hizi laki tano unazozitafuta mitandaoni?
Kwa bahati nzuri, sijatumia kitabu hiki, bali nimetumia zaidi Jewish book, hakika it's work magical, what you wishes comes in 7-14 weeks!
 
Mimi nahitaji nikibet nishinde,so unanisaidiaje hapo
Kitabu cha kijerumani kinatoa majibu kwa hili, tafuta moyo wa popo, ukaushe, ufunge kwenye kitambaa cha hariri, smokey with ubani na sandarusi, jifunge mkononi kwa juu (kulia) kabet, lete jibu hapa haraka sana!
 
Kitabu cha kijerumani kinatoa majibu kwa hili, tafuta moyo wa popo, ukaushe, ufunge kwenye kitambaa cha hariri, smokey with ubani na sandarusi, jifunge mkononi kwa juu (kulia) kabet, lete jibu hapa haraka sana!
Interesting 🤔
Kama kuna treasure iliyowekwa na Mtanzania na akazindika unafanyaje hii ?
Tulishawahi kuwa kwenye group moja lilianzishwa na Bin Nun bahati mbaya nikawa nimepoteza simu na nilikuwa sija back up kwa muda mrefu.

Mali iliyofukiwa na Mtanzania unaitoaje ? Pasipo madhara yoyote ?
 
Hapa wabongo ndo mnapokuwa watu msioeleweka umeambiwa kina siri nyingi lakini mpotayari mkabeti someni hicho kitabu ujue siri za kubeti
😀😀
 
Kitabu cha kijerumani kinatoa majibu kwa hili, tafuta moyo wa popo, ukaushe, ufunge kwenye kitambaa cha hariri, smokey with ubani na sandarusi, jifunge mkononi kwa juu (kulia) kabet, lete jibu hapa haraka sana!
Cjaelewa mkuu smokey na sandarusi ni vitu gan hivo
 
Umeshatuona sisi wote humu ni akina Ushimen au Bantu Lady utupige kamba na kutuokota kama maembe?
Vitabu vimeandikwa na wazungu wa karne 3-4-6-7,ndio wazungu hao hao waliokuandikia biblia na vitabu vingine ndio hao hao akina galileo, Vasco dagama na wengi sana, infact dunia ni ya kale kweli kweli na ina mambo mengi mtambuka ya kustaajabisha!
 
Fanya kazi, acha utapeli.
Sifanyi utapeli mkuu na share tu hidden knowledge!, unaposoma mambo mengi sana, ndipo huwa hata ni rahisi kujifahamu, who are you?, kusudio la uwepo wako ni lipi? What happen if world, haitakuwa na binadamu.
 
Sifanyi utapeli mkuu na share tu hidden knowledge!, unaposoma mambo mengi sana, ndipo huwa hata ni rahisi kujifahamu, who are you?, kusudio la uwepo wako ni lipi? What happen if world, haitakuwa na binadamu.
Mimi ninajifahamu, na ninajua kusudio langu, na sio kujua tu ninaliishi kabisa..

Anyway kama ni hivyo kitabu kiko vizuri, kinasaidia watu wawe self aware.

Lakini kwanini kinauzwa bei ghali hivyo, kina mujiza gani? Wewe kimekupa Billions ngapi?
 
Back
Top Bottom