Mbezi ipi mkuu? Mbezi beach mbezi ya kimara mbezi mwisho mbezi makabe au upi?Goba na Mbezi ndio Habari ya Mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi ipi mkuu? Mbezi beach mbezi ya kimara mbezi mwisho mbezi makabe au upi?Goba na Mbezi ndio Habari ya Mjini.
uliza bei ya viwanja Goba na hicho cha Jamaa ...... Goba kuna kitu ambacho watu wanakipendaGoba to City center ni Kilometres ngapi na Dege to ferry ni kilometers ngapi?
Kuna kaugongwa ka watu nakajuwa, lecturer wa Udsm hakai zaidi ya Changanyikeni na Makongo, sasa hata Goba naelewa ni upepo tu wa Mkumbo.uliza bei ya viwanja Goba na hicho cha Jamaa ...... Goba kuna kitu ambacho watu wanakipenda
Almost same distance but unatakiwa upoteze muda kwenye kile kivuko uchwara.Goba to City center ni Kilometres ngapi na Dege to ferry ni kilometers ngapi?
Mbezi LuisMbezi ipi mkuu? Mbezi beach mbezi ya kimara mbezi mwisho mbezi makabe au upi?
🙏Nauza kiwanja changu mwenyewe kilichopimwa kabisa
Kina Hati.
Ukubwa ni SQM 1900
Kipo Kigamboni- Dege.
Bei ni 45M
Negotiations zipo
Contact; 0684 84 88 01
KWA MADALALI MLIOPO KIGAMBONI UKIWA NA MTEJA 10% YAKO IPO.
NA KWA MTU YOYOTE MWENYE MDAU ANAYETAKA KIWANJA MAENEO HAYO NICHEK 10% YAKO IPO.
Sisi tuliozaliwa Mwananyamala Hatuujui Mji?Kuna kaugongwa ka watu nakajuwa, lecturer wa Udsm hakai zaidi ya Changanyikeni na Makongo, sasa hata Goba naelewa ni upepo tu wa Mkumbo.
Bahati nzuri nimezaliwa Ocean road Dar, naujuwa mji vizuri, najuwa wapi watu wanajenga Kwa mizuka tu.
Madaktari pambaneni sasa.. popcorn ziko wapiSisi tuliozaliwa Mwananyamala Hatuujui Mji?
HahahMadaktari pambaneni sasa.. popcorn ziko wapi
Mi Naomba unikopesheNauza kiwanja changu mwenyewe kilichopimwa kabisa
Kina Hati.
Ukubwa ni SQM 1900
Kipo Kigamboni- Dege.
Bei ni 45M
Negotiations zipo
Contact; 0684 84 88 01
KWA MADALALI MLIOPO KIGAMBONI UKIWA NA MTEJA 10% YAKO IPO.
NA KWA MTU YOYOTE MWENYE MDAU ANAYETAKA KIWANJA MAENEO HAYO NICHEK 10% YAKO IPO.
Tunasubiri mtanange mkuuHahah
Maongezi si yapo sio fixed price, alafu mbona hiyo bei ni kawaida sana kwa maeneo hayo. Kiwanja cha sqm 1900 kwa hiyo bei ni sahihi kwa dege japo sijajua kipo umbali gani kutoka barabarani.23
We jamaa ni noma unauza Kiwanja Tsh 23,600 per Sqm??
Au kiwanja kiko Kariakoo?
Mimi nimezaliwa Canada. Wala siwezi sema naifahamu Canada au ikanipa kibali cha kuongea pumba na watu kukubaliana nazo. Ulipozaliwa hapahusiani na hoja za watu kupenda sehemu flani.Kuna kaugongwa ka watu nakajuwa, lecturer wa Udsm hakai zaidi ya Changanyikeni na Makongo, sasa hata Goba naelewa ni upepo tu wa Mkumbo.
Bahati nzuri nimezaliwa Ocean road Dar, naujuwa mji vizuri, najuwa wapi watu wanajenga Kwa mizuka tu.
Kama umezaliwa Mwananyala wewe ni wa juzi tu.Sisi tuliozaliwa Mwananyamala Hatuujui Mji?
Hujui mantiki, kwahiyo huwezi kujuwa Nimeandika nini.Mimi nimezali Canada. Wala siwezi sema naifahamu Canada au ikanipa kibali cha kuongea pumba na watu kukubaliana nazo. Ulipozaliwa hapahusiani na hoja za watu kupenda sehemu flani.
hakuna lolote. ni upuuzi na ushamba tu kudhani ukizaliwa ocean road its a big deal. ungesema tu unaifahamu dar. ulipozaliwa haihusiani na kujua (siyo kujuwa) umezaliwa ocean road na bado hujui kuandika kiswahili vizuri. mimi niliyezaliwa Canada nakurekebisha. huu mji watu wana uhuru wa kuishi popote watakapo na waonapo panafaa haijalishi wamezaliwa wapi au wmekulia wapiHujui mantiki, kwahiyo huwezi kujuwa Nimeandika nini.
Huu mji tunaujuwa vizuri kuna maeneo watu wamefuata Mkumbo tu.