Plot4Sale Nauza kiwanja hapa Mbezi Goba

Habari ndo hiyo binamu...

Haya mambo ya Binamu Nyama ya Hamu yanakwamisha maendeleo ujue!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahhaha dada niachie binamu yangu
Mi namshangaa...

Yaani mi niache kumuombea adui njaa ili nibebe kitu kiulaini halafu Prishaz anataka nianze mambo ya mitongozo wakati anajua kabisa kwamba binamu hatongozwi...
 
Mi namshangaa...

Yaani mi niache kumuombea adui njaa ili nibebe kitu kiulaini halafu Prishaz anataka nianze mambo ya mitongozo wakati anajua kabisa kwamba binamu hatongozwi...
Halafu binamu mitongozo mambo ya kizamani kabisa siku hizi watu hawatongozani kabisa
 
Halafu binamu mitongozo mambo ya kizamani kabisa siku hizi watu hawatongozani kabisa
Hapo sasa, ndo maana nakupenda binamu yangu, na maombi yangu yapo pale pale!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…