Plot4Sale Nauza kiwanja hapa Mbezi Goba

Plot4Sale Nauza kiwanja hapa Mbezi Goba

Bensoy

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
576
Reaction score
622
Kipo mbezi njia ya goba. Kituo kinaitwa kontena karibu na kanisa katoliki.

Ni mbezi ya juu mtaa wa kunguru yalipo makazi ya mbunge Ester Bulaya ambayo ni opp na secondary ya sant Joseph.

Fika au piga namba 0719794789

Ukubwa ni mita za mraba 20/20.

IMG-20220226-WA0022.jpg
 
Heri ya Mwaka Mpya Binamu...

Yaani nimeku-miss hadi najisikia bora tu niende zangu Ukraine kwa yale unayonitendea binamu!
Hahhahha nimekumiss sana binamu yangu Ukraine usiende binamu bado tunakuhitaji sana
 
Hahhahha nimekumiss sana binamu yangu Ukraine usiende binamu bado tunakuhitaji sana
Unafikiri nina jeuri basi ya kwenda huko UKraine!!!

Nimejifanyisha tu ili unibembeleze nisiende, na hapa nimejisikia roho kwaatu!!

Yaani kwa mfano ungesema "fanya haraka binamu ukawasaidie wa-Ukraine, wallah ningeumia mno"
 
Unafikiri nina jeuri basi ya kwenda huko UKraine!!!

Nimejifanyisha tu ili unibembeleze nisiende, na hapa nimejisikia roho kwaatu!!

Yaani kwa mfano ungesema "fanya haraka binamu ukawasaidie wa-Ukraine, wallah ningeumia mno"
Hahahahah naanzaje binamu yangu kutaka uende Ukraine huku bado tunakuhitaji sana
 
Ndo maana nakupenda Binamu, no wonder kila siku naombea uachike ili nichukie mzigo kiulaini, sema aaaaaaaaaargh!
Eeenh binamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaombea niachike unimiliki mwenyewe binamu yangu
 
Ndo maana nakupenda Binamu, no wonder kila siku naombea uachike ili nichukie mzigo kiulaini, sema aaaaaaaaaargh!
Muone kwanza, yani kusubiri wenzio waache ndio ujichukulie why kuniaibisha hivi ilhali mbinu za kivita unazijua...

BTW, andaa wakili.
 
Muone kwanza, yani kusubiri wenzio waache ndio ujichukulie why kuniaibisha hivi ilhali mbinu za kivita unazijua...
Uzuri wa huyo ni binamu, na binamu huwa haongwi 😀
BTW, andaa wakili.
Khaaa!!

Unataka kunipeleka kwa Pilato, ama?! Mambo vp lakini?

Been unavailable recently, na ndo maana post naiona baada ya siku 5 kupita!!
 
Eeenh binamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaombea niachike unimiliki mwenyewe binamu yangu
Habari ndo hiyo binamu...

Haya mambo ya Binamu Nyama ya Hamu yanakwamisha maendeleo ujue!
 
Muone kwanza, yani kusubiri wenzio waache ndio ujichukulie why kuniaibisha hivi ilhali mbinu za kivita unazijua...

BTW, andaa wakili.
Hahhaha dada niachie binamu yangu
 
Back
Top Bottom