Plot4Sale Nauza kiwanja Nyamhongolo

Plot4Sale Nauza kiwanja Nyamhongolo

Sam Richards

Member
Joined
May 3, 2019
Posts
76
Reaction score
155
Wakuu maji yamefika shingoni naomba niuza asset yangu 1 nisolve mambo mengine niendeleze asset zingine.

Sqm ni 1280
Sehemu ni Nyamhongolo
Bei 25M bei mazungumzo
Simu: 0621 622 070.

IMG-20250221-WA0003.jpg
 
Hakika aysee watu hatuna hela tunauza tu bei sawa na bureeee
Bei sawa na bure kama ingekuwa 1 sqrm kwa 6,000 Tsh. Lakini wewe unafanya 1 sqrm kwa zaidi ya 19,000 Tsh, bei ya dalali hiyo.
 
Bei sawa na bure kama ingekuwa 1 sqrm kwa 6,000 Tsh. Lakini wewe unafanya 1 sqrm kwa zaidi ya 19,000 Tsh, bei ya dalali hiyo.
Uko viwanja vinauzwaje?
Huku Dar ndanindani uko manispaa ikitangaza kupima eneo kuuza inaanza na 25,000 Tsh kwa sqm kwa kiwanja cha shamba. Kiwanja cha makazi 30,000 Ths na cha biashara kama shule na maduka 40,000 Tsh.

Manispaa ya jiji gani inauza sqm kwa 6,000. Au achana na hiyo bei, leta hata tangazo la 10,000 Tsh per sqm.
 
Uko viwanja vinauzwaje?
Huku Dar ndanindani uko manispaa ikitangaza kupima eneo kuuza inaanza na 25,000 Tsh kwa sqm kwa kiwanja cha shamba. Kiwanja cha makazi 30,000 Ths na cha biashara kama shule na maduka 40,000 Tsh.

Manispaa ya jiji gani inauza sqm kwa 6,000. Au achana na hiyo bei, leta hata tangazo la 10,000 Tsh per sqm.
Acha "KAMDOMO" wewe, mjini umekuja lini?

 
Tuyajenge

Kenya Development Budget of sh 4,791,772,950,556.28

Tanzania Development Budget of Sh 1,419,843,057,000
 
Back
Top Bottom