Computer4Sale Nauza laptop aina ya Apple

Computer4Sale Nauza laptop aina ya Apple

Sawa mkuu ndo niko napekua apa [emoji855][emoji855]
Yaan hizi pc bana sjui ata izo specifications nazipata wapi
Nikizipata tu napiga picha natuma mkuu [emoji110]️[emoji1666][emoji1666]
When screeen ikiwa on>left click kaalama ka tunda -kapokushoto juu > click option imeandikwa about this mac > itakultetea pc information
Proccsesor
Ram
Hdd
Serial number
 
hii laptop nimeachiwa na boss akati anarudi kwao china ni PC nzuri sana
Naiuza 750k haipungui naamini kama unajuana na watu wengi hasa wenye uwezo unaweza kwenda kuiuza hata 1.5m+
pia kama kuna mtu anaweza kunipa connection za sehem ambazo naweza kwenda kuiuza nitashukuru kwani hii bei ni ndogo sana maana nikiangalia risit zake walinunua 4.5mView attachment 976902View attachment 976903View attachment 976904View attachment 976905View attachment 976906
UNASEMA HAIPUNGUI LAKI SABA NA NUSU! ALAFU UNASEMA MTU ANAWEZA KUIUZA HATA MILIONI 1.5 NA ZAIDI .

KWA NINI USIUZE HIYO MILIONI 1.5 AMBAZO ZITAKUTOSHA KULIKO HIYO BEI UNAYOTANGAZA.

USIJIKAANGE MWENEWE KWENYE ISSUE KAMA HIYO
 
Mkuu ukifika kwenye laki 5 nicheki tumalizane chap kwa haraka sana kiongozi
 
Back
Top Bottom