pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
wandugu nauza maharage ya soya nina gunia 150 kila gunia nauza laki na thelathini tu pia nina magunia kama hamsini ya mbaazi kila moja nauza laki tatu ni gunia la kilo mia moja kwa anaehitaji please pm me