Kiazi Kitamu
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 122
- 126
- Thread starter
-
- #21
Sawa mkuuaisee jombaa ungekua dar ningekutafuta
Hapo ndo utawajua inspirational speakers! Tumia gharama kubwa kufuga njoo na bei yako sokoni utalia!View attachment 1393847View attachment 1393848View attachment 1393851View attachment 1393853Natafuta soko la mayai ya KIENYEJI HALISI SIYO CHOTARA nina uwezo wa kuwa na trei kuanzia 25 - 30 za mayai kwa siku,
Mayai ni wa kuku wa kienyeji halisi siyo CHOTARA yenye kiini cha njano, Size ya mayai ni makubwa na masafi
Trey moja ni 13,000 Tsh, nipo Ngaramtoni - Arusha .
Mwenye uhitaji nitafute kwa namba 0693100453/0713085416
WhatsApp 0765894955
Ukihitaji unaletewa hadi nyumbani au kwenye biashara yako.
KARIBU TUFANYE BIASHARA.
HahaaaHapo ndo utawajua inspirational speakers! Tumia gharama kubwa kufuga njoo na bei yako sokoni utalia!
Dar biashara ya mayai ikoje hasa ya kienyeji?Unafanyajee Arusha mwana hizo mambo za Dar kabisa fasta tu mzigo ungeisha
Oooh ndio NATAFUTA connection ya kuweza kufanya nae biashara MkuuUnafanyajee Arusha mwana hizo mambo za Dar kabisa fasta tu mzigo ungeisha
Unafanyajee Arusha mwana hizo mambo za Dar kabisa fasta tu mzigo ungeisha
Sawa sawa Mkuu bahati mbaya Mimi niko aru
NiDar Trays 10 nitazipataje?
Ni cheki 0693100453Dar Trays 10 nitazipataje?
Sawa sawa karibu iko siku nitafikisha Dar
Hahaaa kwa sasa watapata mayai Halisi kwa bei nafuu kabisa na shida itapunguaNyie wa dar mmezoea mayai ya kisasa ndo maana hamna nguvu za kiume.
Thank you! AsanteWasiliasa na huyu jamaa
Natafuta mayai ya kuku wa kisasa - JamiiForums