SOFTWARE Nauza mfumo utakaokusaidia kutunza kumbukumbu za mauzo na manunuzi hata kama upo mbali na biashara yako

SOFTWARE Nauza mfumo utakaokusaidia kutunza kumbukumbu za mauzo na manunuzi hata kama upo mbali na biashara yako

Je unafanya biashara ya ukopeshaji na ungependa kupata mfumo wa computer utakaokusaidia shughuli zako za ukkopeshaji?

LOAN MANAGEMENT SYSTEM

Mfumo wa usimamizi masuala ya kuweka pesa na kukopa

Mfumo maalumu kwa ajili ya vikoba, microfinance, taasisi za ukopeshaji na watu binafsi wanao jihusisha na ukopeshaji.
IMG_20240510_150835.jpg

Kupitia mfumo huu utaweza kuona

Taarifa zote za wakopaji

Marejesho na deni la mkopo uliobakia
IMG_20240511_123033.jpg

Faida iliyoingizwa katika mikopo iliyotolewa.

Taarifa za uwekaji wa pesa kutoka kwa wanachama.

Mfumo una loan calculator ambayo inakusaidia kupiga mahesabu ya mkopo ambao mwanachama anaomba na inakuwezesha kujua marejesho anayotakiwa kurudisha.

gharaa ya mfumo huu ni Tsh 500,000
kwa features zilizopo kwa sasa.

Ikiwa utahitaji kuongeza features zingine tutazungumza.

Kwa maelezo zaidi na demo ya mfumo naweza kukupatia
 
Ndo wale wanaoharibu biashara, na bila shaka huyu ni dalali tu.
-maelezo yanajirudia tu.
-huo mfumo wa online,wa ngapi wana uwezo wa internet full time! Si ile yetu ya 110,000?
-Ni kitu gani hapo kinachoweza kukuvutia kuitumia? Si kwamba ni mbaya,ila maelezo hayajitoshelezi.
-kwa 150,000 kwa mwaka,umehost wapi? Muuzaji atabaki na nini?

Hii kitu wahindi wa Medeil,mpaka leo hawana mpinzani. Lakini kosa kubwa walilofanya,ni kama hilo.
Watu hawana mda na mambo hayo, na wewe una ujuzi wako. Unalazimika kuwachimba mpaka wakuelewe,ndo uuze. Sasa,ni kama vile: unanunua hununui!?
hata sijakuelewa mkuu
point yako ni nini?
 
Je unafanya biashara ya ukopeshaji na ungependa kupata mfumo wa computer utakaokusaidia shughuli zako za ukkopeshaji?

LOAN MANAGEMENT SYSTEM

Mfumo wa usimamizi masuala ya kuweka pesa na kukopa

Mfumo maalumu kwa ajili ya vikoba, microfinance, taasisi za ukopeshaji na watu binafsi wanao jihusisha na ukopeshaji.
View attachment 2986700
Kupitia mfumo huu utaweza kuona

Taarifa zote za wakopaji

Marejesho na deni la mkopo uliobakia

Faida iliyoingizwa katika mikopo iliyotolewa.

Taarifa za uwekaji wa pesa kutoka kwa wanachama.

Mfumo una loan calculator ambayo inakusaidia kupiga mahesabu ya mkopo ambao mwanachama anaomba na inakuwezesha kujua marejesho anayotakiwa kurudisha.

Kwa maelezo zaidi na demo ya mfumo naweza kukupatia

mawasiliano 0677 818283
Jee ni online or offline?
Bei yake?
Gharama zake nyingine?
 
Je unafanya biashara ya ukopeshaji na ungependa kupata mfumo wa computer utakaokusaidia shughuli zako za ukkopeshaji?

LOAN MANAGEMENT SYSTEM

Mfumo wa usimamizi masuala ya kuweka pesa na kukopa

Mfumo maalumu kwa ajili ya vikoba, microfinance, taasisi za ukopeshaji na watu binafsi wanao jihusisha na ukopeshaji.
View attachment 2986700
Kupitia mfumo huu utaweza kuona

Taarifa zote za wakopaji

Marejesho na deni la mkopo uliobakia

Faida iliyoingizwa katika mikopo iliyotolewa.

Taarifa za uwekaji wa pesa kutoka kwa wanachama.

Mfumo una loan calculator ambayo inakusaidia kupiga mahesabu ya mkopo ambao mwanachama anaomba na inakuwezesha kujua marejesho anayotakiwa kurudisha.

Kwa maelezo zaidi na demo ya mfumo naweza kukupatia

mawasiliano 0677 818283
sh ngap
 
FedhaBook: Mfumo wa kusimamia hesabu za biashara yako hata kama upo mbali na biashara yako
View attachment 2981009
Okoa muda na kujichosha kupiga mahesabu kwa kichwa na kalamu na daftari na uutumie muda huo kufanya mambo mengine binafsi na ya kimaendelea au ya kifamilia

Ni mambo gani unaweza kuyafanya ukiwa na mfumo wa fedhabook hata kama ni mjasiriamali mdogo.
View attachment 2981010
1.Utatunza kumbukumbu zote za manunuzi ya bidhaa zako

2. Msimamizi wako uliyemuweka atatunza taarifa zote za mauzo aliyofanya siku husika
View attachment 2981011
3.Kama unafanya biashara kwa bei za jumla na rejareja pia mfumo utakuruhusu kufanya hivyo

4.Utatunza gharama zingine zote za kimatumizi ndani ya biashara yako kama vile umeme, pango, kodi, usafiri n.k
View attachment 2981012
5.Utaweza ku control matumizi ya mfumo kulingana na majukumu unayomkabidhi mtu.
kama ni mtu wa mauzo basi kwenye system ataona sehemu ya mauzo tu na sio mambo mengine

6.Utaweza kuprint risiti ikiwa utahitaji mfumo ufanye hivyo

7.System yenyewe sasa itakusaidia kuchakata taarifa zako na kukuonesha faida uliyoingiza kwa siku, wiki, mwezi n.k

8.System utakuonesha bidhaa zilizobaki, bidhaa zinazoelekea ku expire, na bidhaa zilizoisha kabisa.

9.System itakuonesha bidhaa ipi inakuletea faida zaidi ya bidhaa nyingine.

10.System itakuwezesha kusimamia biashara zaidi ya moja na hata kama utahitaji kuhamisha biadhaa kutoka ofisi moja kwenda nyingine itawezekana ndani ya system.

11.Kwakuwa system ni ya online huhitaji kutembelea ofisi zako kwa ajili ya mahesabu.Utaweza kujua kila kinachoendelea katika biashara yako popote utakapokuwa katika dunia hii.

Mfumo huu utaweza kuupata kwa gharama ya Tsh 150,000 tu.

Fedhabook Tanzania
www.fedhabook.com
0677 818283
Hongera sana, umetumia language zipi mkuu (backend) na Frontend ??
 
Baada ya hapo Kuna gharama zipi Tena?
hakuna gharama zingine zozote zaidi ya kurenew server ambayo kwangu mm ni 90,000 kwa mwaka..

ila kama utahiyaji au una server yako ni wewe mwenyewe tu utakavyoigharamia ina maana mimi na wewe tutakuwa tumeshamalizana.

Labda kama utahitaji maboresho au kuongeza features zingine ndio tutakubaliana tena
 
Mkuu....
Kwani haujaskia mkopo umesababisha ticha amejiua kule kaskazini??
 
Mkuu....
Kwani haujaskia mkopo umesababisha ticha amejiua kule kaskazini??
ndio maana nimeleta hii system ili mkopaji na mkopeshaja wawe na taarifa muda wote wajui marejesho...sio mambo ya kishtukizana.

pia taarifa zinakuwa wazi tokea siku ya kwwnza anakopa anajua narejesha kiasi gani kila baada ya muda gani

nadhani system hii itasaidia kupunguza majanga kama haya
 
150,000 TU KWA MWAKA MZIMA
YAANI NI 12,500 KWA MWEZI
 
Iyo hosting unauzaje!! nikitaka ya kudumu
kiuhalisia hamna hosting ya kudumu... hii hosting ni huduma ambayo mmiliki wa system iliyopo mtandaoni analipia kila mwaka
sasa inategemean na kampuni na kampuni ..

ika kwa kadri unavyonunua kwa muda mrefu labla miaka 2 au 4 ndio bei inapungua..
Hakuna bei maalum.
 
Je unafanya biashara ya ukopeshaji na ungependa kupata mfumo wa computer utakaokusaidia shughuli zako za ukkopeshaji?

LOAN MANAGEMENT SYSTEM

Mfumo wa usimamizi masuala ya kuweka pesa na kukopa

Mfumo maalumu kwa ajili ya vikoba, microfinance, taasisi za ukopeshaji na watu binafsi wanao jihusisha na ukopeshaji.
View attachment 2986700
Kupitia mfumo huu utaweza kuona

Taarifa zote za wakopaji

Marejesho na deni la mkopo uliobakia

Faida iliyoingizwa katika mikopo iliyotolewa.

Taarifa za uwekaji wa pesa kutoka kwa wanachama.

Mfumo una loan calculator ambayo inakusaidia kupiga mahesabu ya mkopo ambao mwanachama anaomba na inakuwezesha kujua marejesho anayotakiwa kurudisha.

gharaa ya mfumo huu ni Tsh 500,000
kwa features zilizopo kwa sasa.

Ikiwa utahitaji kuongeza features zingine tutazungumza.

Kwa maelezo zaidi na demo ya mfumo naweza kukupatia

mawasiliano 0677 818283
Kwasasa Industry Imekuwa sana,
Jee system yako. Ina features za Islamic Microfinance ?
Islamic Finance Financial Instrument like eg Ijara, Mudarabah, Musharka, Wakal, Istana, sukul and Takaful ?
 
Vijana wa ovyo watasema tukopeshe huo mfumo tuone kama utaweza kusimamia mikopo yako.

Ila kazi nzuri na bei nzuri.
 
Kwasasa Industry Imekuwa sana,
Jee system yako. Ina features za Islamic Microfinance ?
Islamic Finance Financial Instrument like eg Ijara, Mudarabah, Musharka, Wakal, Istana, sukul and Takaful ?
hayo ni majina tu ambayo taasisi inayatoa kwenye huduma zao.

ila logic ya calculation za riba na marejesho unaziwek ndanj ya system..
kwa maana hiyo naweza ku customize calculation za marejesho ya kiasi cha pesa na muda wa marejesho kulingana na mahitaji ya mmiliki wa taasisi ya ukopeshaji ..

kwa saaa system ina main features za msingi..ila mtu kama ataleta requirement zake naweza kuibadilisha iendane na matakwa yake..
 
Back
Top Bottom