SOFTWARE Nauza mfumo utakaokusaidia kutunza kumbukumbu za mauzo na manunuzi hata kama upo mbali na biashara yako

Kuna boya hapa anatafutwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali utosini. Na atapatikana tu.
 
Kwasasa Industry Imekuwa sana,
Jee system yako. Ina features za Islamic Microfinance ?
Islamic Finance Financial Instrument like eg Ijara, Mudarabah, Musharka, Wakal, Istana, sukul and Takaful ?
Unataka ajumuishe vionjo vya kigaidi kwenye hiyo software?

Accumen Mo adriz
 
Kuna boya hapa anatafutwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali utosini. Na atapatikana tu.
Hili ni jukwaa la matangazo ya huduma na bidhaa
sasa kama bidhaa huzielew...ni bora kukaa kimya na kuficha ujinga wako.
 
Hili ni jukwaa la matangazo ya huduma na bidhaa
sasa kama bidhaa huzielew...ni bora kukaa kimya na kuficha ujinga wako.
Hamna banaaaa. Tabia ya mtanzania inafahamika vema. Honesty zero nikupigana nakulizana tu. Ukiitwa kwenye fursa ujue wewe mwenyewe ndo fursa.
 
Unataka ajumuishe vionjo vya kigaidi kwenye hiyo software?

Accumen Mo adriz
Tafsiri ya neno Gaidi ni mtu anayepigania HAKI yake ya msingi.
Angalia waliopewa Hilo jina ni wapigania HAKI zao na Uhuru mfano.
Jomo Kenyata.
Nelson Mandela.
Chief Mkwawa.
Abusheri.
Mtemi Mirambo.
Nkwame Nkrumah.
Ahmed Ben Bella.
Patrick Lumumba.
Samoral. mashel.
Augustine Neto.
Sam Nouma wa Namibia.
Robert Mugabe.
Kamuzi Banda.
Kenneth Kaunda.
 
Kuna boya hapa anatafutwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali utosini. Na atapatikana tu.
Huu mfumo ni vitu vipo tu ndugu yangu jifunze , inafanya kazi offline na online, ni Web mtu anaingia direct kupata access, jifunze kwanza Kabla ya kujadili kitu.
Na hata Bei aliyetoa ni Bei rafiki sana kwenye soko wengine wana charge per kichwa or client Moja Moja na user ndio unalipa Kwa mwezi na gharama za host piya unalipia. Wengine wanauza Hadi 1.5millioni Kwa local hao wengine ni mtondo wa $
 
Mkuu naleta wazo la kuwa marketing ceo wa mfumo nikikuletea wateja percent yangu iwe 10% ya cost ya ununuaji. Nipe jibu nianze kazi rasmi kama marketing officer.
 
Mfumo huu hapana...

Nenda kajifunze Apex nk wana mifumo mizuri sana hawa wakenya

Tafuta taasisi zinazotumia mfumo wao jifunze ili utoe kilichobora

Huu bado sana! Bado kabisa...!

Nakushauri kajifunze huko utakuja kunishukuru!
 
Hiyo mifumo ni shida...!

Huu kwa kuangalia tu naona kuna kasoro
 

waombe hawa demo ujifunze kitu... inaweza kukusaidia, usiogope kujifunza ili uweze kuwa bora
 
Mfumo huu hapana...

Nenda kajifunze Apex nk wana mifumo mizuri sana hawa wakenya

Tafuta taasisi zinazotumia mfumo wao jifunze ili utoe kilichobora

Huu bado sana! Bado kabisa...!

Nakushauri kajifunze huko utakuja kunishukuru!
Elewa tofauti kati ya banking na loan management.
Kama una requirement zako lete tukutengenezee kulingana na mahitaji yako.
Hakuna Kinachoshindikana.
Sitengenezi system kw kuiga mtu mwingine mim nina wateja wangu ambao features zilizopo hapa kwenye system yangu zinawatosha..
mteja atakapokuwa na mahitaji ya ziada anaweza kuongezewa features anazozitaka.
 
system inatengenezwa kulingana na tatizo unaloenda kusolve wao waliona tatizo ndio wakatengeneza na mm nimeona uhitaji wa software katika sekta fulani ndio nimetengeneza.

kwa maana hiyo wao wana aina yao ya wateja na mimi nina aina yangu ya wateja hii ndio njia bora ya mm kuwa bora zaidi kuliko kuiga alichotengeneza mtu mwingine.
 
Kuna boya hapa anatafutwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali utosini. Na atapatikana tu.
Usikariri.
Unaweza kukaa kimya ili watu wasijue hali yako ya uelewa.
Better to remain silent and be thought a fool than to speak and to remove all doubt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ