Mwalimu wa Jamii
Senior Member
- Mar 9, 2023
- 162
- 373
php and laravel
Safi sana Master, pia ukiwa free, tumia Angular Material Framework ya Javascript as Front End na Oracle au sql server As Data Files storage, na NodeJs au C# as middleware kati ya Frontendna Backend. Ulishawahi kutumia mfumo wa ERMS au MAJIIS mifumo ya eGa utaona ninachomaanisha. Nchii hii kuna Vijana wanaweza na wanajua katika masuala la Coding... Kila la heri Master.php and laravel
shukraniSafi sana Master, pia ukiwa free, tumia Angular Material Framework ya Javascript as Front End na Oracle au sql server As Data Files storage, na NodeJs au C# as middleware kati ya Frontendna Backend. Ulishawahi kutumia mfumo wa ERMS au MAJIIS mifumo ya eGa utaona ninachomaanisha. Nchii hii kuna Vijana wanaweza na wanajua katika masuala la Coding... Kila la heri Master.
DirmVFD
sasa si ungeandaa uzi wako uelezee bidhaa yako mkuu.Sisi tuna mfumo wa kidigital(Dirm VFD) wa utoaji risiti za EFD. Unaweza kutumia mfumo kupitia simu Yako ya mkononi, tablet au computer. Umfumo kwa mawasiliano zaid piga 0784523861
π π π πππππMara paaap TRA wanadaka data zako
Tafsiri ya neno Gaidi ni mtu anayepigania HAKI yake ya msingi.
Angalia waliopewa Hilo jina ni wapigania HAKI zao na Uhuru mfano.
Jomo Kenyata.
Nelson Mandela.
Chief Mkwawa.
Abusheri.
Mtemi Mirambo.
Nkwame Nkrumah.
Ahmed Ben Bella.
Patrick Lumumba.
Samoral. mashel.
Augustine Neto.
Sam Nouma wa
Hao ndo magaidi ila bongo πTafsiri ya neno Gaidi ni mtu anayepigania HAKI yake ya msingi.
Angalia waliopewa Hilo jina ni wapigania HAKI zao na Uhuru mfano.
Jomo Kenyata.
Nelson Mandela.
Chief Mkwawa.
Abusheri.
Mtemi Mirambo.
Nkwame Nkrumah.
Ahmed Ben Bella.
Patrick Lumumba.
Samoral. mashel.
Augustine Neto.
Sam Nouma wa Namibia.
Robert Mugabe.
Kamuzi Banda.
Kenneth Kaunda.