Angalia kichaa kikizidi usijemuuza mother wako ukakosana na dingi yako. Je yeye akiamua kukuuza wadhani utanunuliwa au utadoda. Mkeo si bidhaa fiti zaidi ya kuwa makapi ya mapenzi yenu. Go learn how to think logically young fella. Ukiendelea kufikiri hivyo kuna mabasha watataka wakununue wewe toka kwa huyo umuuzaye. Shauri yako!