Car4Sale Nauza Nissan x-trail

Car4Sale Nauza Nissan x-trail

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
.
 

Attachments

  • IMG_20210310_115232_177.jpg
    IMG_20210310_115232_177.jpg
    114.7 KB · Views: 36
Habari wakuu,

Nauza gari yangu Nissan x-trail tatizo nimetembelea bila oil injini ikaanza kugonga na kwasasa sina hela ya kununua injini mpya nipe offer yako nikuachie gari ufunge injini mpya, haina tatizo lolote zaidi yahilo.
Usajili. No DBX
Injini mpya inauzwa milioni moja tuuh.
Gari inavuta nyuma na mbele

Karibu.

View attachment 1875137

Maelezo yako hajajitoshelezi...

Nini kinagonga kwenye engine?
 
Walifungua kipande

Okay kama unasema walifungua basi,

Ila kwenye engine za kisasa kama hiyo iliyopo kwenye Xtrail. Ukitembea bila Oil kitu cha kwanza kugonga huwa Oil control valve.

Na nmetoka kumtatulia mtu tatizo kama hilo jana Kibaha.

Alitembea bila oil engine ikaanza kugonga, Fundi akamwambia cylinder namba moja na namba 4 zimetanuka hivyo engine ni ya kubadilisha.

Jana tumebadili hiyo valve engine imetulia.
 
Back
Top Bottom