The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
Habari zenu wote?
Nauza nyumba yangu ambayo ipo magomeni mikumi. Nyumba ina vyumba kumi vya kulala, na sehemu kubwa ya kupumzikia, mie niliitumia kwaajili ya kupangisha watu. Bei ni shillingi mil 60 na kuna maelewano. Ambaye yuko serious tuwasiliane kwa PM please.
Nauza nyumba yangu ambayo ipo magomeni mikumi. Nyumba ina vyumba kumi vya kulala, na sehemu kubwa ya kupumzikia, mie niliitumia kwaajili ya kupangisha watu. Bei ni shillingi mil 60 na kuna maelewano. Ambaye yuko serious tuwasiliane kwa PM please.