Kilanga komo
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 337
- 290
Hana shida hapo kasinzia tuAna shida gani?
Nauli juu yakomikoani kutuma bei gani?
Upo wapiUkitaka wengine nione nakupa bure tu, wanatusumbuwa huku mitaani, ukila Tonge la ugali anameza yeye.
Kweli hali ni ngumu
WakiumeJinsia gani huyo paka
😄😄😄 Sio young deepaka rapa
😄😄Duuuh.... Mama lete grisi