Nauza paka wa nyumbani

Nauza paka wa nyumbani

Masihara kando

Kwa level yangu ya maisha siwezi ishi na mnyama wa kufugwa. Gharama za madawa, chanjo na chakula siwezi kumudu.

Hata nikitoa elfu tatu nikalazimisha kuishi naye hapa kwenye chumba cha kupanga ni nitamtesa tu. Kuna siku nitaondoka sirudi hadi wiki moja ipite na hata nakua sijui kama huko ninapoenda nitaondokea huko huko.
 
Masihara kando

Kwa level yangu ya maisha siwezi ishi na mnyama wa kufugwa. Gharama za madawa, chanjo na chakula siwezi kumudu.

Hata nikitoa elfu tatu nikalazimisha kuishi naye hapa kwenye chumba cha kupanga ni nitamtesa tu. Kuna siku nitaondoka sirudi hadi wiki moja ipite na hata nakua sijui kama huko ninapoenda nitaondokea huko huko.
Umeamua kuwa mkweli
 
Back
Top Bottom