Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Sikuharibii hata kidogo. Kama unasaa nitakuja nunua ila kwangu usiweke neno Valentine. Hizo ni sherehe za KikafirSamahani kaka, hii biashara angu tangu 2017, nmeianza kwa shida na siuzi hivi tu, every accessory u want nione, sio hizi gift packages tu, huu ni msimu wa Valentine lazima twende na upepo. Nakuomba sana kwa jina la Mwenyezi Mungu usiniharibie biashara, kama wewe sio mpenzi wa Valentine unaweza kuja kununua ata saa brand kama zote zipo[emoji4][emoji4][emoji4]
Hapo ngoja nichague ambacho hujaweka. Nachagua nami kuwa tapeli na mjanja mjanja. Hii Valentine nauza Condom za Utamu, nauza na Vidonge mimba.Bro jitahid usiwe na vyote kati ya umaskini na makasiriko,chagua kimoja itakupa unafuu wa kuish
Karibu sana[emoji1431]Sikuharibii hata kidogo. Kama unasaa nitakuja nunua ila kwangu usiweke neno Valentine. Hizo ni sherehe za Kikafir
Sikuharibii hata kidogo. Kama unasaa nitakuja nunua ila kwangu usiweke neno Valentine. Hizo ni sherehe za Kikafir
[emoji1][emoji1][emoji1]Ulitaka aweke neno gani? Muisharamu
Kunduchi maeneo gani nije kuuona.Pete kuna za 8000 na jumla 6000
Kuna za dozen 18,000 na nusu dozen 10,000
Cheni zenye hereni zake jumla 3000 kuanzia sita na rejareja 5000
Hereni kadi moja 5000 na jumla 3500 kuanzia kadi 6
WhatsApp/call 0753669856
Tupo Dar, Kunduchi
View attachment 2509697
Kunduchi jeshini ukifika Avani ulizia wateule butcher ama nipigie 0753669856Kunduchi maeneo gani nije kuuona.
SawaKunduchi jeshini ukifika Avani ulizia wateule butcher ama nipigie 0753669856
Nashindwa kuelewa nifanyeje, maana nkituma always inaonesha nliyoselect ya kwanza nyingine zinakuwa na link kama attachment na ukifungua hazifunguki, kama unaweza nielekeza how to do it utakuwa umenisaidia, zamani ilikuwa poa ila sasa hivi ndo hivyoPakia upya picha zako inafunguka moja tu, weka moja moja
Kama una MY FILES nenda kachague kule itakubaliNashindwa kuelewa nifanyeje, maana nkituma always inaonesha nliyoselect ya kwanza nyingine zinakuwa na link kama attachment na ukifungua hazifunguki, kama unaweza nielekeza how to do it utakuwa umenisaidia, zamani ilikuwa poa ila sasa hivi ndo hivyo
Fuata huu mpangilio👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 ukifika kwenye mafaili ya picha zako changua lenye picha unazotaka kutuma then tick zile ynataka kuweka.Nashindwa kuelewa nifanyeje, maana nkituma always inaonesha nliyoselect ya kwanza nyingine zinakuwa na link kama attachment na ukifungua hazifunguki, kama unaweza nielekeza how to do it utakuwa umenisaidia, zamani ilikuwa poa ila sasa hivi ndo hivyo
Okay, ahsante sanaFuata huu mpangilio[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313] ukifika kwenye mafaili ya picha zako changua lenye picha unazotaka kutuma then tick zile ynataka kuweka.
NB: tumia folder ya MY FILES ndio mara nyingi halizingui