INAUZWA Nauza perfume, saa na urembo mbalimbali kwa bei poa

INAUZWA Nauza perfume, saa na urembo mbalimbali kwa bei poa

Wewe nikinunua IST, wewe mjengee Mansion asiwe anafokewa na mama mwenye nyumba.

Depal ingia BeFoward niletee invoice. Hakikisha huyo Watu8 mnaenda kununua uwanja leo leo.
😂😂😂 mnaniua mbavu kwa kucheka

Watu8 hajamaliza bado ya rolex
Tena twende na kwa wauza viwanja

Invoice yako inakuja 😝
 
Shemeji nishakujua wewe. Unang'ata na kupuliza.

Sasa ushaning'ata mimi, acha nijipulizie mwenyewe..
Shemeji ukisema hivyo unakosea sana.
Hata ukichungulia ndani ya moyo wangu utaona venye niko loyal to you shemeji yangu.

Tunasubiri IST niwe napewa lift na shost angu , full kuzurura
 
Samahani kaka, hii biashara angu tangu 2017, nmeianza kwa shida na siuzi hivi tu, every accessory u want nione, sio hizi gift packages tu, huu ni msimu wa Valentine lazima twende na upepo. Nakuomba sana kwa jina la Mwenyezi Mungu usiniharibie biashara, kama wewe sio mpenzi wa Valentine unaweza kuja kununua ata saa brand kama zote zipo[emoji4][emoji4][emoji4]
Mtu anajiita chizi maarifa halafu wewe unahangaika nae, ungemuacha tu.
 
Shemeji ukisema hivyo unakosea sana.
Hata ukichungulia ndani ya moyo wangu utaona venye niko loyal to you shemeji yangu.

Tunasubiri IST niwe napewa lift na shost angu , full kuzurura
Ona sasa Shemeji.

Uliyekuwa unapigia chapuo kakimbia. Nakuonya tena shemeji, muache mdogo wako atulie. Usishadadie mambo ya kupewa vizawadi na mijidume mingine.

Niambie mimi, ntamnunulia.

Watu8 kaa mbali na Depal
 
[emoji3526]

Weka picha mbili tatu basi alizopick tukamilishe muamala
Hizo, kachagua ndogo, ni 30,000/-View attachment 2503691View attachment 2503692View attachment 2503695View attachment 2503694View attachment 2503693View attachment 2503696
IMG_20230128_175200_603.jpg
 
Back
Top Bottom