Full package huwa ngapi yani hiyo ya 45000Hello Ndugu wateja tumewaandalia Full Package za Valentine Day
Full package ina
Saa
Bracelet
Box na
Gift bag [emoji161]
Tsh 45,000 Full package
WhatsApp/call 0753669856View attachment 2503396View attachment 2503397View attachment 2503398View attachment 2503399View attachment 2503400View attachment 2503401View attachment 2503402View attachment 2503403View attachment 2503404
Yes, full package unapata saa, bracelet, box hilo la love na gift bagFull package huwa ngapi yani hiyo ya 45000
😂😂😂😂 nyau wewePuppy ouch
Hiyo inanitosha kabisa.😂😂😂😂 nyau wewe
😂😂😂 me nataka kukupa rolex ya mchongoHiyo inanitosha kabisa.
Si mpenzi wa saa. Kidani cha Tanzania chanitosha.😂😂😂 me nataka kukupa rolex ya mchongo
Au kidani cha Kenya
Nakuongezea cha KenyaSi mpenzi wa saa. Kidani cha Tanzania chanitosha.
Usiwe gaidi hivyoWATU WANATUMIA FURSA SABABU YA UJINGA WA WATU KUWA MKUBWA SANA. KABISA MTU ANAENDA NUNUA ZAWADI SABABU YA STUPID THING LIKE VALENTINE?WAJINGA NDIO WALIWAO.
Sivai kingine zaidi ya Tanzania.Nakuongezea cha Kenya
DAh! Mkuu bas we kanunue ulanzi uwake🤣🤣🤣WATU WANATUMIA FURSA SABABU YA UJINGA WA WATU KUWA MKUBWA SANA. KABISA MTU ANAENDA NUNUA ZAWADI SABABU YA STUPID THING LIKE VALENTINE?WAJINGA NDIO WALIWAO.
Acha watu wapate hela, Watanzania tukoje jamani. We kama huna mpenzi usiharibu biashara za watu.WATU WANATUMIA FURSA SABABU YA UJINGA WA WATU KUWA MKUBWA SANA. KABISA MTU ANAENDA NUNUA ZAWADI SABABU YA STUPID THING LIKE VALENTINE?WAJINGA NDIO WALIWAO.
Ujeuri wa nini sasaSivai kingine zaidi ya Tanzania.
🤣🤣🤣🤣🤣wewe unakwama wapi?WATU WANATUMIA FURSA SABABU YA UJINGA WA WATU KUWA MKUBWA SANA. KABISA MTU ANAENDA NUNUA ZAWADI SABABU YA STUPID THING LIKE VALENTINE?WAJINGA NDIO WALIWAO.