Nauza pikipiki npo moshi mjini, bei 1.5M maongez yapo kwa mawasiliano 0672901144

Nauza pikipiki npo moshi mjini, bei 1.5M maongez yapo kwa mawasiliano 0672901144

Goodluck Boaz

Member
Joined
Feb 26, 2020
Posts
57
Reaction score
47
20241201_163951.jpg
 

Attachments

  • 20241201_163940.jpg
    20241201_163940.jpg
    560.4 KB · Views: 6
Mtu akishasema maongezi yapo najua huo ni ubabaishaji na uswahili, SINUNUI.

Jifunzeni kuweka bei halisi, mtu akitaka anunue hataki aende.

Kwamfano hapo kama umeamua utauza si chini ya 1.3M weka 1.3, kuanzia 1.5 ni utapeli na ubabaishaji.
 
Mtu akishasema maongezi yapo najua huo ni ubabaishaji na uswahili, SINUNUI.

Jifunzeni kuweka bei halisi, mtu akitaka anunue hataki aende.

Kwamfano hapo kama umeamua utauza si chini ya 1.3M weka 1.3, kuanzia 1.5 ni utapeli na ubabaishaji.
Sawaa asante kwa funzo, mm sikuwa nafanya biashara ya kununua ili kuuza, nauza pikipiki yangu ndio maan nashndwa kujua miiko ya biashara.. ila nashukuru sana kwa funzo, asante. Zaidi nsaidie hata kuntaftia mteja ndugu kwani nina changamoto ya pesa.
 
Sawaa asante kwa funzo, mm sikuwa nafanya biashara ya kununua ili kuuza, nauza pikipiki yangu ndio maan nashndwa kujua miiko ya biashara.. ila nashukuru sana kwa funzo, asante. Zaidi nsaidie hata kuntaftia mteja ndugu kwani nina changamoto ya pesa.
1.25m unachukua?
 
900 itapendeza zaidi,ila hii ni pikipiki gani zinakuja hivyo toka kiwandani au ndio usela nondo mana haina hata side mirrors
900 hapana ndugu, lakin hii nliipimp ili tu kuleta muonekano mzuri, kwa uaminifu mkubwa kbsa haijaja kutoka kiwandani ikiwa hvyo!
 
Back
Top Bottom