Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,774
Mkenge ipo katikati ya kijiji cha mwavi na fukayosi njia kuu ya kutoka bagamoyo kwenda msata.
Wastani wa kilometa 35 kutoka bagamoyo mjini hadi hapo kwenye njia panda ya kwenda mkenge. Na panaumbali wa kilometa 10 kutoka main road hadi kijijini mkenge.
Kwahiyo wape watu taarifa kamili ili mtu ajue location vizuri.
Wastani wa kilometa 35 kutoka bagamoyo mjini hadi hapo kwenye njia panda ya kwenda mkenge. Na panaumbali wa kilometa 10 kutoka main road hadi kijijini mkenge.
Kwahiyo wape watu taarifa kamili ili mtu ajue location vizuri.