Sawa bossKwa hiyo wewe kwenu umeshindwa sisi wa tukuyu ndo tukanunue ,hebu tokapa kawauzie wanakijiji wenzio
Mtaje mwenyekiti wa Mtaa wa MkengeHabari wapendwa nahitaji mnunuzi mwenye kujua thaman ya uwekezaji Nauza place yangu heka 3.
Location: njia ya bagamoyo mkenge
Document: Zipo na linatambulika na serikali ya kijiji
Nilinunua 2019 Nauza nimeshindwa kufanya chochote kutokana nipo mbali napo.
WhatsApp 0715160365
Call 0747464694
Jerry Slaa katoa marufuku kutumia uongozi wa serikali za mitaa/vijiji kwenye mauziano ya ardhi kwa sasa!Mtaje mwenyekiti wa Mtaa wa Mkenge
Niko fukayosi hapa mkuu, tunanyonya gambe tu kwakwenda mbele, tuna malizia malizia hela za mapori [emoji28]Napajua mkenge akuna changamoto ya utapeli. Pamenyoka!! Mm shamba langu liko fukayosi Huu ni mwaka wa 7..... FUKAYOSI NDIO PAMEKUCHA KWA CHANGAMOTO.
Kabla ya Mwetemo?Ufiki Kiwangwa mbaya sio mwenyeji Sana hiyo njia ila kituo ni Mkenge