Pius Dominick
Member
- Jan 20, 2017
- 77
- 56
mwenye mali ni wewe?Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Ndiyo ni mimi hakuna dalali hapamwenye mali ni wewe?
Nataka nifanye udalali mkuu nijipatie walau 1millionNdiyo ni mimi hakuna dalali hapa
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Kipo salama sana na changamoto za maji. Documents ni za serikali za mtaa. Kuna bomba la maji. Changamoto yangu ni issues za January kwa watotoDocument zikokoje? Kuna shida ya Maji kutuama? Sounds cheap
ni wewe tu mkuu ili mradi tupate hela ya sikukuuNataka nifanye udalali mkuu nijipatie walau 1million
niforwadie namba zakoni wewe tu mkuu ili mradi tupate hela ya sikukuu
0658504155niforwadie namba zako
Kiranja kama fimbo ya kuulia nyokaKiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Unachekesha wewe!!Chukua Mil 5 ukimbie usigeuke nyuma nisije nikaghairi.
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Yes, Tegeta A kanisa la Wasabato mita 10kumi baada ya kulipita kanisa mkono wa kushoto kinapakana na ukuta mpya unaojengwa yaani baada ya ukuta huooUnaweza nielekezw nikafika kabla ya kuonana na wewe?
Kipo kama sambusa hivi. Upande wa barabara ndo kina mita 16 na ule wa mwisho yaani nyuma ni 22. Marefu ni mita 38Kwenye picha ya kwanza hapo kwenye kona ya kulia ndio mpaka unapoanzia?
Yes, Tegeta A kanisa la Wasabato mita 10kumi baada ya kulipita kanisa mkono wa kushoto kinapakana na ukuta mpya unaojengwa yaani baada ya ukuta huoo