Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Hongera sana mwanangu, nitafutie na mimi frem nakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei zitawekwa hapahapa mkuu wala usiogope. Unataka ipi? Nina hakika hujazipenda zote.Hivi kwa nini wauza bidhaa wa mitandaoni hamweki bei za bidhaa mnazouza?
Huyohuyo mzee, na sista etu yule wa chuoshem gani mkuu labda nimchukulie mama.
Dua neneBravo piga kazi MMANTA
Mkuu unamjua? Au nimewahi kuandika mahali humuHuyohuyo mzee, na sista etu yule wa chuo
Oya nishaamsha huko 😅La WIZA raraa reree min -me Natafuta Ajira Ruble Nazjaz fundi bishoo
Ina mana madem zenu hwapendezi au hamhongi?
Madale hamjamboOya nishaamsha huko 😅
Nitakuja, miezi ya Vacay imetamaradi. Mwenge kuna kofia. Ila nitavaa Ninja 😅😅😅😅Jumla 23000
Reja 27000View attachment 3152951
Safi kimya sana..Shem mzima??
Tunaganga njaa shem, jana ulipona?Safi kimya sana..
Nimemusurika, mungu kaniponya kwq namna flani. Nimechelewa kabisa kutoka jana nimefika maeneo by saa 5 hiv. Lakin kama ningewahi pale chini ningepita mana ndo kona zangu zile mpaka kwa swaji paleTunaganga njaa shem, jana ulipona?
Mimi akili bado haijatulia, hapa tuna kazi ya kwenda msiba huu baada ya muda tunaenda mwingine. Ni huzuni tupu.Nimemusurika, mungu kaniponya kwq namna flani. Nimechelewa kabisa kutoka jana nimefika maeneo by saa 5 hiv. Lakin kama ningewahi pale chini ningepita mana ndo kona zangu zile mpaka kwa swaji pale
Mungu awajaze nguvuMimi akili bado haijatulia, hapa tuna kazi ya kwenda msiba huu baada ya muda tunaenda mwingine. Ni huzuni tupu.
Hapa nimetoka tabata barakuda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyekufa yeye pamoja na mdogo wake. Ss hivi naelekea segerea kwa mwingine kafiwa na mwanae wa kiume, nikitoka huko naenda mwanagati kuna mama kafiwa na binti yake na kijana wake wa kazi… nitamalizia kinondoni kuna bro mmoja kafiwa na mdogo wake yani tunashindwa kujigawanya yametukuta kkoo 😭😭