Nauza pochi kali, ofisi yangu ipo Kawe Ukwamani

Nauza pochi kali, ofisi yangu ipo Kawe Ukwamani

Nimemusurika, mungu kaniponya kwq namna flani. Nimechelewa kabisa kutoka jana nimefika maeneo by saa 5 hiv. Lakin kama ningewahi pale chini ningepita mana ndo kona zangu zile mpaka kwa swaji pale
Mimi akili bado haijatulia, hapa tuna kazi ya kwenda msiba huu baada ya muda tunaenda mwingine. Ni huzuni tupu.

Hapa nimetoka tabata barakuda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyekufa yeye pamoja na mdogo wake. Ss hivi naelekea segerea kwa mwingine kafiwa na mwanae wa kiume, nikitoka huko naenda mwanagati kuna mama kafiwa na binti yake na kijana wake wa kazi… nitamalizia kinondoni kuna bro mmoja kafiwa na mdogo wake yani tunashindwa kujigawanya yametukuta kkoo 😭😭
 
Mimi akili bado haijatulia, hapa tuna kazi ya kwenda msiba huu baada ya muda tunaenda mwingine. Ni huzuni tupu.

Hapa nimetoka tabata barakuda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyekufa yeye pamoja na mdogo wake. Ss hivi naelekea segerea kwa mwingine kafiwa na mwanae wa kiume, nikitoka huko naenda mwanagati kuna mama kafiwa na binti yake na kijana wake wa kazi… nitamalizia kinondoni kuna bro mmoja kafiwa na mdogo wake yani tunashindwa kujigawanya yametukuta kkoo 😭😭
Mungu awajaze nguvu
 
Tupo wazi
Jumla 45,000
Reja 48000
Kawe ukwamani
IMG-20241115-WA0023.jpg
IMG-20241115-WA0037.jpg
IMG-20241115-WA0040.jpg
IMG-20241115-WA0041.jpg
 

Attachments

  • IMG-20241115-WA0039.jpg
    IMG-20241115-WA0039.jpg
    83.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom