Plot4Sale Nauza shamba eneo la viwanda misugusugu

Plot4Sale Nauza shamba eneo la viwanda misugusugu

mbona eneo unalodalalia ni la watu embu tuletee picha kwa sababu hapo napajua na pameshanunuliwa siku nyingi na wala hiyo siyo bei halisi kwa maeneo hayo hapo napajua vizuri eka ni 15M hata juzi hiyo ndio bei inayotembea tupe picha kwanza usije uza eneo la watu hakuna eneo la wazi maeneo hayo mpaka dampo kule chini ni maeneo ya watu
Bontaboy
9258628 NORTHINGS
482201 EASTINGS
Nenda angalia hizo coordinate uone
 
mbona eneo unalodalalia ni la watu embu tuletee picha kwa sababu hapo napajua na pameshanunuliwa siku nyingi na wala hiyo siyo bei halisi kwa maeneo hayo hapo napajua vizuri eka ni 15M hata juzi hiyo ndio bei inayotembea tupe picha kwanza usije uza eneo la watu hakuna eneo la wazi maeneo hayo mpaka dampo kule chini ni maeneo ya watu
 
Nilinunua 2016 kwa lengo la kuchimba mchanga , hizo coordinate napakana na mhindi yy ana ekari nyingi.

Uongozi upo wa kijiji na vyote vitafanyika kwa uwazi.

Hizo coordinate ukienda ofisi za madini lina PML
 
Bontaboy , sasa ameelewa kakitambua kiwanja na kukubali kwamba ni taarifa nilizotoa ni sahihi
 
February 10

Bontaboy
ok sawa jana nilikuwa huko ni kweli nimeona kuna eneo kule karibu na dampo kuna mhindi wa siku nyingi anafuga kuku ndio uko karibu naye sawa hawa wachina hawajafika kwako kwa sasa ndio wateja wakubwa wanachukua eka kwa 15m kama iko ndani na barabarani wanachukua 20-27m ngoja tuone
12:21
BONTABOY
Powa kaka nashukuru kwa taarifa ila nasikia kuna wachina walienda juzi kule kuna mtu akanipigia , sawa tuombe Mungu.
13:24



Attach files


https://www.jamiiforums.com/threads/nauza-shamba-eneo-la-viwanda-misugusugu.2306274/#
 
5,865 sqm
Urefu 141.01m
Upana 45.62
Bei 6.6M
Dalali 10%

. Ipi bei hapo 18.75m au 6.6m
 
Wadau nina eneo upande wa shule ya msingi misugusugu iliyopo mkoani Pwani ninauza ni karibu na eneo la viwanda vya wachina. Pia unapita eneo la Usangu logistics.
Jirani ni msikiti, na kiwanda cha tissue
5,865 sqm
Urefu 141.01m
Upana 45.62
Bei 18.75M
Dalali 10%
Umbali ni 1.5km kutoka morogoro road
Nina mkataba wa mauziano na muuzaji, pia nina muhutasari wa serikali ya kijiji.
Misugusugu hakuna serikali ya kijiji
 

Attachments

  • 17392000422368992113727987096777.jpg
    17392000422368992113727987096777.jpg
    180.5 KB · Views: 2
Misugusugu hakuna serikali ya kijiji
Mr. DIY
Yes sorry ni serikali ya mtaa.
Misugusugu kulikua kunachimbwa mchanga, ili upate leseni ya madini lazima upate coordinate na muhtasari wa serikali ya mtaa please angalia document attached

Pia upate nyaraka za mauziano
 
mbona eneo unalodalalia ni la watu embu tuletee picha kwa sababu hapo napajua na pameshanunuliwa siku nyingi na wala hiyo siyo bei halisi kwa maeneo hayo hapo napajua vizuri eka ni 15M hata juzi hiyo ndio bei inayotembea tupe picha kwanza usije uza eneo la watu hakuna eneo la wazi maeneo hayo mpaka dampo kule chini ni maeneo ya watu
Nimeongeza muhutasari ya serikali ya mtaa 2014
 
Wadau nina eneo upande wa shule ya msingi misugusugu iliyopo mkoani Pwani ninauza ni karibu na eneo la viwanda vya wachina. Pia unapita eneo la Usangu logistics.
Jirani ni msikiti, na kiwanda cha tissue
5,865 sqm
Urefu 141.01m
Upana 45.62
Bei 18.75M
Dalali 10%
Umbali ni 1.5km kutoka morogoro road
Nina mkataba wa mauziano na muuzaji, pia nina muhutasari wa serikali ya mtaa
Wewe ni Dalali au Mmiliki!? 10% analipa nani kama sio muuzaji!!
 
Back
Top Bottom