Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Tangazo kama lina usanii mwingi sana. Hamna picha. Watu wa madini huwa wanachukua tu maeneo, kupakana nao siyo sifa. Pia Heka unamaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jokes Mkuu. Usimaindi mwenyewe natafuta Shamba nje ya mjiMkuu si mbali na Dar maana nilikuwa naenda shambani kwangu na kurudi Dar kwa siku iyoiyo.
Nimeuza kwa ajili ya changamoto binafsi, na changamoto hazina mwenyewe.
Bosi lipo upande gani chalinze?Wakuu kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza, nauza shamba langu ambalo lipo mkoa wa Pwani wilaya ya Chalinze.
Shamba lina ukubwa wa heka 20. Ndani ya shamba kuna banda kubwa la kufungia mifugo.
Shamba lina rutuba sana na mazao mengi yanakubali kama ufuta, mihogo, mahindi, alizeti Nk
Hati ya shamba ninayo na shamba ni la kwangu mwenyewe, nauza kutokana na changamoto zangu binafsi.
Pembeni ya shamba langu pia kuna mgodi wa madini ambao umeanza kazi mwaka huu. So you never know labda shambani kwangu pia kuna madini.
Price: 6M
Bosi lipo upande gani chalinze?
Jokes Mkuu. Usimaindi mwenyewe natafuta Shamba nje ya mji
Big up mkuu , serious buyer watakuchek
Sasa Unauza Bure Ama Mimi Sijaona Bei Mkuu
Shamba zuri sana. Km ngapi kutoka main road. Nina shamba upande huo pia.
Shamba zuri sana. Km ngapi kutoka main road. Nina shamba upande huo pia.
Tunaweza kuongea mkuu. Naomba namba yko pm1.5km mkuu
Tunaweza kuongea mkuu. Naomba namba yko pm